Hivi Ndugu Augustino Lyatonga Mrema anasumbuliwa na nini?

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Aug 14, 2012
1,121
2,064
Nimemshuhudia kupitia taarifa ya habari ya saa 2 usiku anaongea kama mgonjwa.

Pamoja Na kuomba watanzania waache kumsema vibaya Rais, lakini maneno karibia yote alikuwa akirudia kama yalivyokuwa yakitamkwa na aliyekuwa akimrekodi. Nadhani huyo mwandishi hakutambua kama sauti yake inasikika au alikosea kwenye editing lakini ni ajabu kwa hiki kilichoonekana kwa mwongeaji mashuhuri Mrema.

Pia kwenye matamshi alionekana kutetemeka sana. Binafsi nadhani ana tatizo huyu mzee wetu au ndo uzee haswa.

Doooo, Eee Mwenyezi Mungu naomba umwekee mkono wako huyu Mzee pamoja na kwamba amekuwa akitumiwa vibaya tangu alipopata pigo la uchaguzi mwaka 1995.
 
Mwacheni huyu mzee wa hishima jamani. Mbona mna mwandama kila kona? Aliahidi kumpigia kampeni rais na faida yake mmeiona. M/Kiti wa parole!! Upo hapo?? Pamoja na mchezo waliomchezea kule Vunjo wakidhani hatakula tena lakini ameula tena bila jasho.
B/up sana Mh. M/Kiti wa Parole. Ugua pole msee wangu wa Kiraracha. Wanaokuombea mabaya yawarudi wao
 
Nimemshuhudia kupitia taarifa ya habari ya saa 2 usiku anaongea kama mgonjwa.

Pamoja Na kuomba watanzania waache kumsema vibaya Rais, lakini maneno karibia yote alikuwa akirudia kama yalivyokuwa yakitamkwa na aliyekuwa akimrekodi. Nadhani huyo mwandishi hakutambua kama sauti yake inasikika au alikosea kwenye editing lakini ni ajabu kwa hiki kilichoonekana kwa mwongeaji mashuhuri Mrema.

Pia kwenye matamshi alionekana kutetemeka sana. Binafsi nadhani ana tatizo huyu mzee wetu au ndo uzee haswa.

Doooo, Eee Mwenyezi Mungu naomba umwekee mkono wako huyu Mzee pamoja na kwamba amekuwa akitumiwa vibaya tangu alipopata pigo la uchaguzi mwaka 1995.

Weka Video nasi ambao hatukubahatika kutazama ulipokuwa unaangalia...tuone...
 
mzee tunaomba aachwe apumzike na apewe poshoyake nzuri,yanini kumwangaisha namambo ya wafungwa!! Aachwe atulie alishaitumikia nchi vyakutosha
 
Nimemshuhudia kupitia taarifa ya habari ya saa 2 usiku anaongea kama mgonjwa.

Pamoja Na kuomba watanzania waache kumsema vibaya Rais, lakini maneno karibia yote alikuwa akirudia kama yalivyokuwa yakitamkwa na aliyekuwa akimrekodi. Nadhani huyo mwandishi hakutambua kama sauti yake inasikika au alikosea kwenye editing lakini ni ajabu kwa hiki kilichoonekana kwa mwongeaji mashuhuri Mrema.

Pia kwenye matamshi alionekana kutetemeka sana. Binafsi nadhani ana tatizo huyu mzee wetu au ndo uzee haswa.

Doooo, Eee Mwenyezi Mungu naomba umwekee mkono wako huyu Mzee pamoja na kwamba amekuwa akitumiwa vibaya tangu alipopata pigo la uchaguzi mwaka 1995.
Kiukweli nikimuangalia Mrema wa leo nampigia picha Bashite na kiburi chake from seven years to come

Bashite ajifunze kwa Mrema ... amini nawaambia Mrema wa sasa ni taswira tosha atakayo kua nayo Bashite miaka 7 ijayo ...
 
Mrema hana uzee wowote, ni mgonjwa tuu lakini bahati mbaya pia amekubali kutumika na kufuta ile heshima yake aliyopata akiwa waziri
 
Nimemshuhudia kupitia taarifa ya habari ya saa 2 usiku anaongea kama mgonjwa.

Pamoja Na kuomba watanzania waache kumsema vibaya Rais, lakini maneno karibia yote alikuwa akirudia kama yalivyokuwa yakitamkwa na aliyekuwa akimrekodi. Nadhani huyo mwandishi hakutambua kama sauti yake inasikika au alikosea kwenye editing lakini ni ajabu kwa hiki kilichoonekana kwa mwongeaji mashuhuri Mrema.

Pia kwenye matamshi alionekana kutetemeka sana. Binafsi nadhani ana tatizo huyu mzee wetu au ndo uzee haswa.

Doooo, Eee Mwenyezi Mungu naomba umwekee mkono wako huyu Mzee pamoja na kwamba amekuwa akitumiwa vibaya tangu alipopata pigo la uchaguzi mwaka 1995.
Huyu ale pensheni tu sasa. Anajidhalilisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom