Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,510
- 4,224
Kama huo utaratibu unautambua na unaona una nafasi yake kwanini u "underestimate" au ulazimike kufanya hivyo? Kila mahala pana utaratibu wake.Lakini pia hata hayo ambayo huwezi kuvumilia nadhani kuna taratibu zake za kubatilisha ndoa,Sio kwamba haiwezekani kabisa.Lakini kimsingi kiapo,tena mbele ya madhabahu na mbele ya mashahidi ni very Serious.Pale hauli kiapo mbele ya hakimu kiongozi! Pale unakula kiapo mbele ya Mungu! Sasa Mahakama na Mungu nani zaidi?Tumia akili basi. Kanisani ni utaratibu lakini uhalisia wa maisha kuna ambayo huwezi vumilia, kwa nini mahakama inavunja ndoa, kwa nii talaka inaruhusiwa. Ni haya haya. Mfumo uliopo ni mbovuuuuuuu