Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Wadau habari zenu.
Post hii nimesugua kichwa niiweke jukwaa gani , iwe muafaka.
Mwisho wa yote nikaona niitupe hapa ambapo hubeba vitu cocktail .
Wadau naandika post hii nikiwa na UCHUNGU mithili yake sijauchungika kiivi about 10 years past.
Nimefika Bugando (Hospitali ya Rufaa) mida si mirefu, ambapo nimemleta Mama yangu mzazi, kuja kufunguliwa Plaster of Paris (P.O.P)
Mwezi jana Mama yangu aliteleza nyumbani na kuanguka na akavunjika. Tukamleta Hosp akafungwa hogo na leo ndiyo siku ya kufunguliwa hogo.
Kilichojitokeza hapa mara baada ya kufika mapokezi, kwa kua bi. Mkubwa umri umeshakua arijojo, hakuwa amepewa magongo kwani yanamshinda kutembelea.
Tukaomba Wheelchair, jibu tukaambiwa hapa tuna wheelchair moja tu! Najibiwa na wahudumu hayo maneno. Mbele yetu tunakiona ki'wheelchair kimoja ambacho tayari kimebeba mgonjwa, na mtu ambae amemleta mgonjwa yule, lakini hawaoneshi kama wanadalili ya kwenda popote.
Kwa kua mimi mgonjwa wangu nilihitaji nimpeleke 3rd flr, nikamuomba yule mtu, muhudumu awaombe wale wenzetu ambao tayari walikua wanaimiliki wheelchair, kama wao watakua wanasubiri kitu, basi watuachie once mie nipelekee mgonjwa wangu then niwarejeshee.
Muhudumu akanijibu "cha kufanya we wasubirie wakija kupanda na wewe upande nao, wanaenda 9th flr wakiachia wewe ndiyo urudi nayo!"
Kwa wanaoijua Bugando kutoka mapokezi hadi ghorofa ya 9 si shghl ndogo, pamoja na lift zilizopo.
Nisiwachoshe my fellow members mengi yanatia uchungu nikomee hapa .
Bt niwaachie quiz MIAKA 50 YA UHURU TZ , HOSPITAL YA RUFAA WHEELCHAIR 1 ya kupokezana
Kweli ?
Post hii nimesugua kichwa niiweke jukwaa gani , iwe muafaka.
Mwisho wa yote nikaona niitupe hapa ambapo hubeba vitu cocktail .
Wadau naandika post hii nikiwa na UCHUNGU mithili yake sijauchungika kiivi about 10 years past.
Nimefika Bugando (Hospitali ya Rufaa) mida si mirefu, ambapo nimemleta Mama yangu mzazi, kuja kufunguliwa Plaster of Paris (P.O.P)
Mwezi jana Mama yangu aliteleza nyumbani na kuanguka na akavunjika. Tukamleta Hosp akafungwa hogo na leo ndiyo siku ya kufunguliwa hogo.
Kilichojitokeza hapa mara baada ya kufika mapokezi, kwa kua bi. Mkubwa umri umeshakua arijojo, hakuwa amepewa magongo kwani yanamshinda kutembelea.
Tukaomba Wheelchair, jibu tukaambiwa hapa tuna wheelchair moja tu! Najibiwa na wahudumu hayo maneno. Mbele yetu tunakiona ki'wheelchair kimoja ambacho tayari kimebeba mgonjwa, na mtu ambae amemleta mgonjwa yule, lakini hawaoneshi kama wanadalili ya kwenda popote.
Kwa kua mimi mgonjwa wangu nilihitaji nimpeleke 3rd flr, nikamuomba yule mtu, muhudumu awaombe wale wenzetu ambao tayari walikua wanaimiliki wheelchair, kama wao watakua wanasubiri kitu, basi watuachie once mie nipelekee mgonjwa wangu then niwarejeshee.
Muhudumu akanijibu "cha kufanya we wasubirie wakija kupanda na wewe upande nao, wanaenda 9th flr wakiachia wewe ndiyo urudi nayo!"
Kwa wanaoijua Bugando kutoka mapokezi hadi ghorofa ya 9 si shghl ndogo, pamoja na lift zilizopo.
Nisiwachoshe my fellow members mengi yanatia uchungu nikomee hapa .
Bt niwaachie quiz MIAKA 50 YA UHURU TZ , HOSPITAL YA RUFAA WHEELCHAIR 1 ya kupokezana
Kweli ?