Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
Ni lazima ukiwa unakunywa hata chai kikombe 1 cha mia, akipita jirani sharti umkaribishe.(Huu ni unafiki, je kama akifika kula kweli, na una kikombe kimoja?)
Na hapo ni kwenye kula tu, je mambo mengine? Na ndio maana wakati mwingine tunapata viongozi magoi goi, na watoto wapumbavu na wenye IQ ndogo!
Na hapo ni kwenye kula tu, je mambo mengine? Na ndio maana wakati mwingine tunapata viongozi magoi goi, na watoto wapumbavu na wenye IQ ndogo!