Aigoo
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 3,124
- 2,814
Amini usiami huo ndo uhalisia kumbuka sehem yoyote penye money kuna ubusymie siamini sana haya mambo..hhahahaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Amini usiami huo ndo uhalisia kumbuka sehem yoyote penye money kuna ubusymie siamini sana haya mambo..hhahahaa
mengi tunawafanyia lakini inategemea na huyo unayemfanyia, unaweza kumtendea jambo mke ama mpenzi wako ambalo hata yeye hakufikia kama lipo au una mpango wa kufanya hivyo, kwa mfano ukamnunulia chupi moja matata sana labda dazani nzima mzee baba ikakatika kama 100 tuseme, ukampelekea na madude dude mengine kifupi ukaua hata mia 300 za sportpesa, unafika unampatia mzigo wake, unakausha maisha yanaendelea ila amini kuna siku atakuuliza habari za wapenzi wako waliopita kama ulikuwa ukiwafanyia kama unavyomfanyia yeye, kwa mwanaume ni wajibu wake kumtunza mwanamke wake sababu kuu ni kwamba mwanaume yoyote ambaye nyuma yake kuna mwanamke sahihi ukimuona tu hata akiwa mbali anajulikana huyu ana mke ama mpenzi ambaye anahakikisha kuna mambo kwa kiumbe huyu yanakuwa sio ya kuwaza..unarudi home chakula tayari, watoto wana afya, nyumba inanukia amani imetawala, eeh unaamkiwa kabisa shikamoo mme wangu, unatengewa chakula, kitanda safi, mchezo unapewa mpaka unalala humohumo na asubuhi unaondoka uko vizuri kwanini usimuheshimu mwanamke wa dizaini hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha hii mbinu alikuwa anaitumia sana jamaa yangu mmoja hivi miaka kadhaa iliyopita " alishampeleka sana mkewe miya Ohio
Sent using Jamii Forums mobile app
unajua usipokuwa na ufahamu wa uthamani anaokupa mpenzi wako unaweza kuchukulia poa.
Unaweza kujiona unapendwa sana au una haki ya kupendwa sababu u mzuri sana, unapowaona warembo wengine wanavyoteseka utamheshimu mpenzi wako anayekutunza na kukuthamini.
Wiki nzima mpenzi wangu alionyesha tofauti kubwa mno na heshima ya kiwango cha juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kutishana shemu, miongoni mwa wanaume wanaoweza kumfanya binti ajionee wa pekee kwa kupendwa au kwa kujaliwa, nami nimo. Lakini unapochukulia poa upendo wangu na kujali, nitakufundisha kwa vitendo moja wapo ni kukufanyalia utalii wa ndani uone wenzio wanaishi je, wanapendwa je, wana masahibu gani nk.kumbe kunatishana tena?.kwahyo unamtishia npenzi wako ukiniboa nakuachaova ww ndo unayetoa pumz...bwashee maisha lazima yaendelee no matter wht...msalimie demi
Oohh dhumuni haswaa kwa wanao fanya hivyo ni kutaka kuwaonyesha wenza wao kwamba kitendo cha wao kuwa nao ni kwa sababu wana wathamini .wanapenda kwa dhati "....Ili iweje ?kama sijaelewa
Kwa kuwa nimekuzidi umri piaa inawezekana kwa shughuri unayokutana nayo ๐๐๐๐๐kwenye kukuamkia natoa shilingi yangu aisee...!why nikuamkie shikamoo??๐๐
Kabisa yaaan....hahaahaaWengine unakuta ni waume za watu hadi unabaki
Kwa kuwa nimekuzidi umri piaa inawezekana kwa shughuri unayokutana nayo ๐
Dunia ina wanawake wengi, Wanaume wachache!
katika hao wanaume wachache kuna:
wanaume tujitambue!
- wanaume wapo jela
- wanaume sio rizq
- wanaume watawa
- wanaume committed kwa mwanamke mmoja!
- wanaume wapenda sabuni.....
nawewe uwe muelewa kuwa umependwa na utulie isiwe siraha ya kupigia
Mkuu...
Samahani kidogo nimechelewa kufika kwenye huu uzi.
Naomba kuwasilisha.....View attachment 1030844
Hii picha yako nimeichokaaa!!Mkuu...
Samahani kidogo nimechelewa kufika kwenye huu uzi.
Naomba kuwasilisha.....View attachment 1030844