madawi mart
Senior Member
- Nov 27, 2018
- 176
- 88
Mbona kama unahasira mkuu ha ha ha ha haWitness naomba nikwambie;
Kama unashape kama hilo tako lako au hata uzuri wa uso, si kitu sana kwa mwanaume zaidi utaendelea kutumiwa na usipewe hwshima ya kuwa mke ( waulize akina Wema, Tunda na co wao)
Ugonjwa wetu mkubwa ni kumpata mwanamke mwanana moyoni, mtii na mwenye heshima.
Mwanaume ni smart sana na anajua kupangilia atakacho...
Anaoa mtiifu na mwenyeheahima na nje anagonga mwenye uzuri wa uso au figure ilhali anajua hawaendi kokote kimahusiano
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app