Inabidi uwe na cooler transporters
Vipi kuhusu zile container za freezer, hazisaidii ?Inabidi uwe na cooler transporters
Una-idea hata kidogo?Ukianza mipango hurltashindwa kama Sato fresh wanasafirishwa seuse mihogo
Hii ni mihogo fresh mkuu na soko ni kubwa sana.da aisee yaani wenzetu wako advanced sana yaani huo unga wa muhogo wana uprocess kilakitu hapa kwetu wana upack kule kwao ndiyo wanauza kwa bei hiyo ?unajua hapo unazungumzia karibu ya elfu sita wanapata super profit wakati hapa garama hatumii hata sh miatano kwa kilo au vipi jamani?
Inategemea na ukubwa wa mzigo lakini kuna freezer vans na lorries
da aisee yaani wenzetu wako advanced sana yaani huo unga wa muhogo wana uprocess kilakitu hapa kwetu wana upack kule kwao ndiyo wanauza kwa bei hiyo ?unajua hapo unazungumzia karibu ya elfu sita wanapata super profit wakati hapa garama hatumii hata sh miatano kwa kilo au vipi jamani?
Naona hapo imeandikwa New ZealandInatokea nchi gani?Hii
lakini kuna refregerated container ambazo unaweza kuset joto lolote unalotaka unaweza kusafirisha kuna unga unatoka rwanda huwa wana export sijajua tu wanapakia container za aina gani
biashara nzuri sana hapo ni mtaji tu na sokoKumbe hii ni biashara kabisa...