Mwakaboko King
JF-Expert Member
- Apr 22, 2015
- 1,099
- 207
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ndiyo Ndugai. Mwaka 2017 anawavua ubunge waliokuwa kambi ya Maalim baada ya kuvuliwa uanachama na kambi ya Lipumba. Leo anatangaza kuwalinda wabunge waliovuliwa uanachama na CHADEMA. Double standardshii video ya lini? ni ya Jul 31, 2017 au ni lini? hawa magumashi wa NEC nia yao inajulikana ambayo ni kumsaport mkoloni mtawala mweusi kubaki madarakani...siku wenye nchi wakiamua liwalo na liwe ndio watakumbuka kutubu, lakini itakuwa too late... itakuwa ni kipondo tu (Cha mbwa mwizi kama wavavyopenda kusema wenyewe au projection ya nini kitakachowatokea huko mbeleni) kwa kila kibaka aliyeshiriki wizi kwa namna moja au nyingine...
Kwani Chadema wameshapeleka taarifa NEC ya kuwavua uanachama?? CUF walipeleka taarifa NEC sasa wanasaccos wenyewe wanalialia tu kwenye mitandao ya kijamii. Poleni.Huyo ndiyo Ndugai. Mwaka 2017 anawavua ubunge waliokuwa kambi ya Maalim baada ya kuvuliwa uanachama na kambi ya Lipumba. Leo anatangaza kuwalinda wabunge waliovuliwa uanachama na CHADEMA. Double standards