waambie na wenzio muache kuniibiaUongo mkubwa tatizo la nyie mabosi hata mkiambiwa ukweli mnadhani uongo endeleeni kujidanganya tu.
imagine una kuku 1500 uwakariri woteNimecheka sana.
Uwakariri sura kuku?
Hata ningekuwa mimi ndo hao vijana ningekula sana mayai.
imagine una kuku 1500 uwakariri wote
Mbinu nyingine ya kuwajua ni hii
::: utakuta vijana hao mashavu dodo kwelikweli maana so Kwa kumega mayai huko.
Wewe ni shamba boy au girl?Uongo mkubwa tatizo la nyie mabosi hata mkiambiwa ukweli mnadhani uongo endeleeni kujidanganya tu.