Hivi ndivyo unavyouzwa bila hata ya wewe mwenyewe kujua

Motivesheno spika bana Yani we wenzako wametuacha tutumie mitandao yao bure ila we unataka sisi tununue kitabu chako ili tusome nadharia ambazo haziwez kubadilisha chochote Sasa nani katugeuza bidhaa?
 
Dah tangazo limekaza nganganga, ndio maana umeshindwa kufikiri upande wa pili wa shilingi ukoje...

Ninavyofahamu Instagram wanauza taarifa zako kwa makampuni ya ki biashara ikiwa na maana kwamba... Utakua ukiona post za sponsored / Reels ya kile unacho LIKE kwa Sana.

Mfano : Ikiwa wewe unapenda Sana mavazi, na una LIKE post nyingi za mavazi basi INSTAGRAM watakua wakikuletea Sana post za mavazi, hii inamaana kwamba Kuna mfanyabiashara amelipia sponsored ad tangazo lake la mavazi kwahiyo INSTAGRAM wanalielekeza kwako wewe mpenzi wa fasion / mavazi.

Hivyohivyo ukiwa unapenda Sana misosi na una LIKE Sana post za misosi, basi utakua ukiona Sana post za misosi, INSTAGRAM watakua wanakuletea kile unachopenda na kuki LIKE kwa sana.

Kwa mantiki hiyo, hatuwezi kutumia neno INAKUUZA Kama ambavyo umesema kwenye tangazo lako, ulioaswa kutumia neno INAKUPELEKA kwa mfanyabiashara anaeuza kile unachokitaka / DEMAND.

Baba tangazo lako limekaza Sana, weka grease kidogo... Kwa tangazo hili hutoweza ku meet your AUDIENCE hapa, utakua ni Kama wale wafanyabiashara ambao kwenye Instagram wana post post nyingi za bidhaa na mauzo hakuna
Ndo maana mm nikifungua tu insta nakutana na wadada Wana twerk baaikoko za kumwaga sijui walijuaje kama napenda madem wenye mizigo na wakat huwa siwek like ili mtu yoyote asije kunishtukia kama naangaliaga hayo mambo
 
Nilidhani ninasoma mahubiri ya mashahidi wa Yehova namna na mpangilio wa uandishi wako ulivyo.

Yaani ni kama maneno uliyoyatumia umeyafasiri kutoka katika maandishi ya lugha nyingine, kumbe ni tangazo la biashara ya mauzo ya kitabu!

Sijaona popote katika andishi lako, mantiki ya maudhui.
 
Huwezi amini anae tushauri tuachane na mitandaoni tajwa na yeye ana account katika mitandao hiyo.
Na hii ndio bongo bhana
 
Najiuliza kama sio mitandao ya kijamii basi nisingekuwa na kipato na connections nilizonazo sasa. Siwezi kuacha kutumia mitandao ya kijamii kwa sababu ina faida kubwa sana kwangu kibiashara, kijamii na kiakili.

Natamani mods wafute ujinga ulioandika mbuzi we, unashauri tuondokane na utumwa wa mitandao wakati wewe pia ni mtumiaji tena verified kabisa kuku jike wewe.
 
Ndo maana mm nikifungua tu insta nakutana na wadada Wana twerk baaikoko za kumwaga sijui walijuaje kama napenda madem wenye mizigo na wakat huwa siwek like ili mtu yoyote asije kunishtukia kama naangaliaga hayo mambo
Ume follow watu wengi wanaopost hizo posts, AU pale kwenye REELS huwa unaangalia Sana videos za dizaini hiyo.

Pia hata ukiwa una search Aina fulani ya kitu, labda magari au wauza spare n.k Basi utakua ukiletewa hivo vitu kwa Sana.
 
Hivi tukishatoka woote katika mitandao ya kijamii huoni biashara yako ya vitabu itapotea vilevile? Kwa maana utatufikiaje sasa bila hiyo mitandao ya kijamii.
We are at the point of no return.
 
Back
Top Bottom