umeonaeeeTumieni mitandao ya kijamii kwa kujiongezea kipato tusikae kizembe
Sent using Jamii Forums mobile app
Waswahiki husema nikupacho utamu na uchungu kitakupaMaisha bwana!
Chenye madhara ndicho chenye uraisi Wa kukipata
“Naitwa Baker, nahitaji jimama kama wewe wa kunilea mimi nitakupa mapenzi
Kijana mwingine, Abdulrazaq Ibrahimu amewahi kukutana na wasichana wengi mtandaoni lakini tofauti na wengine
Group la nini mkuu? WhatsApp au Telegram? Naomba niungemo please nataka kufanya utafiti.Kuna group linaitwa Tanga raha nilishawahi kuunganishwa na jamaa yangu mmoja nilijitoa baada ya masaa mawili...ni hatar sana!
Mkuu hebu tema mate chini....ya kweli hii au tamthlia? Maweeeeee!!!!Waafrika maadili hawana,mtu anamkaz mamake,dadake au mwanae ana maadili huyo.?
Kuna jamaa amemkaza dadake wamezaaa na mtoto mmoja na familia inajua.