Faida ya makampuni ya makubwa inapungua.
Uchwara anataka pato la serikali liongezeke. Kutoka wapi?
Tunakoelekea tutakuja kutozwa kodi ya kichwa.
Uchumi umemshinda.
Asipewe muhula wa pili anatesa watu.
Ukiiangalia vizuri hiyo mihimili mitatu utaona muhimili wa Serikali yangu umezama chini zaidi ya mihimili mingine kwa sababu ndiyo unaotafuta hela, kuzitunza na kuzitoa kwa ajili matumizi ya mihimili mingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.