Hivi ndivyo uchumi unavyokua Kwa kasi ya 4G

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,180
85,339
Takwimu plus matukio haviongopi! Ngoja twende pamoja Kwa umoja. Asante
b8416e25c6864b5cab2de045443cac97.jpg
4869219bcdad9043a6e76be24e1e1811.jpg

9821545439b8d43dc70f10aeabe970e8.jpg
64453cc078c5204bceb7f60aec435ae9.jpg

77b494f086923f7bdc14867ff6968bd6.jpg
 
Faida ya makampuni ya makubwa inapungua.
Uchwara anataka pato la serikali liongezeke. Kutoka wapi?
Tunakoelekea tutakuja kutozwa kodi ya kichwa.
Uchumi umemshinda.
Asipewe muhula wa pili anatesa watu.
 
Elimu bure, chanzo cha njaa kali.

Upungufu unaotajwa wa watumiaji wa bandari, chanzo kingine.

Teuzi mbalimbali, huku waliopangiwa majukumu mengine kuendelea kupokea mishahara minono ya enzi zao, chanzo kingine.

Mchakato wa kuhamia dodoma, chanzo kingine

Tujiombee tu sasa.
 
Ukiiangalia vizuri hiyo mihimili mitatu utaona muhimili wa Serikali yangu umezama chini zaidi ya mihimili mingine kwa sababu ndiyo unaotafuta hela, kuzitunza na kuzitoa kwa ajili matumizi ya mihimili mingine
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom