Toa katuni za zamani hapa, hapa humfedheheshi jk unafedhehesha nchi
View attachment 45190
Sijui ni kweli ktk yote yanayosemwa na hizo katuni na hasa hili la Jk
I do support you. Wakati viongozi wanahangaikia uchumi wa nchi zao sisi tunapiga porojo za vijiweni na kuwalinda mafisadi. Kwa kweli inauma ila ukweli ndio huo. tuna rasilmali nyingi mno kuliko wao lakini tumebaki nyuma.Songíto;3129336 said:aisiii nimeipenda hii!! najua ni chungu na ngumu kumeza ila hatuna budi kuinywa!! namanisha hata kama hatutaki, ila ukweli ndo huo, kinachomanishwa hapo ni kuwa waakati wengine wanahangaika kupandisha uchumi sisi tumelala na hatuna la kujisifia... very constructive idea