Hivi ndivyo Tz , Kenya na uganda wanavyojisifia na maraisinwao

Shine

JF-Expert Member
Feb 5, 2011
11,481
1,364
224724_210209308996996_100000237868116_762330_4349379_n.jpg
Sijui ni kweli ktk yote yanayosemwa na hizo katuni na hasa hili la Jk
 
Mh nimeiona ila nitarudi bdae kuja kuchangia ngoja nijishauri kwanza
 
aisiii nimeipenda hii!! najua ni chungu na ngumu kumeza ila hatuna budi kuinywa!! namanisha hata kama hatutaki, ila ukweli ndo huo, kinachomanishwa hapo ni kuwa waakati wengine wanahangaika kupandisha uchumi sisi tumelala na hatuna la kujisifia... very constructive idea
 
Songíto;3129336 said:
aisiii nimeipenda hii!! najua ni chungu na ngumu kumeza ila hatuna budi kuinywa!! namanisha hata kama hatutaki, ila ukweli ndo huo, kinachomanishwa hapo ni kuwa waakati wengine wanahangaika kupandisha uchumi sisi tumelala na hatuna la kujisifia... very constructive idea
I do support you. Wakati viongozi wanahangaikia uchumi wa nchi zao sisi tunapiga porojo za vijiweni na kuwalinda mafisadi. Kwa kweli inauma ila ukweli ndio huo. tuna rasilmali nyingi mno kuliko wao lakini tumebaki nyuma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom