Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,682
- 8,809
Ontario hafanyi training , hana issue za IB link's , hana habari za commissionMdogo wangu huwezi kunielewa leo, utanielewa kesho.
Technically, najua Ontario sio consistently profitable trader kwa hiyo anachofanya yeye anaitumia hiyo fanbase kutengeneza hela either legal au illegall kupitia, pesa za trainings, IB links, commission ambayo mostly analipwa na brokers watu wanapolose money.
Lakini at the end of the day wataokuja kuumia Ni newbies wengi aliowaokota kutoka vyuoni hivi karibuni.
So unaponiona nawasanua Madogo Ni kwa lengo zuri tu sababu I've been there, I've done that. Naujua mwisho na hatma yake mapema kabla hata mwisho haujafika.
Hao fanbase ambao hawataki kusikia wengi wamekamatwa na maneno sukari ya Ontario. Siwashangai maana hata mimi Kuna kipindi niliwahi kushindwa kukiruka kiunzi Cha maneno murua ya Ontario.
But I wish, wastuke mapema! Unless watastuka wakiwa wako ruined financially severely.
he makes money trading forex , na ana pair moja tu kama main (GJ) na michepuko wawil Nasdaq na Usdzar.. full stop , nenda insta yake ana video kule kaweka (screen recorded) za trade za miez miwil nyuma.. dola 3000+ hadi dola 120k huko, hapo hapo ana account nyingine ambayo in zaid ya dollar lak 200k , kumchukia mtu ni uchaguzi wako ila kusambaza uongo sidhani kama ni sahihi broh , hafanyi hizo IB links, sijui commission, hafanyi
haya mambo yalifanyika kipindi cha TMT tu baaas