Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

Mdogo wangu huwezi kunielewa leo, utanielewa kesho.

Technically, najua Ontario sio consistently profitable trader kwa hiyo anachofanya yeye anaitumia hiyo fanbase kutengeneza hela either legal au illegall kupitia, pesa za trainings, IB links, commission ambayo mostly analipwa na brokers watu wanapolose money.

Lakini at the end of the day wataokuja kuumia Ni newbies wengi aliowaokota kutoka vyuoni hivi karibuni.

So unaponiona nawasanua Madogo Ni kwa lengo zuri tu sababu I've been there, I've done that. Naujua mwisho na hatma yake mapema kabla hata mwisho haujafika.

Hao fanbase ambao hawataki kusikia wengi wamekamatwa na maneno sukari ya Ontario. Siwashangai maana hata mimi Kuna kipindi niliwahi kushindwa kukiruka kiunzi Cha maneno murua ya Ontario.

But I wish, wastuke mapema! Unless watastuka wakiwa wako ruined financially severely.
Ontario hafanyi training , hana issue za IB link's , hana habari za commission

he makes money trading forex , na ana pair moja tu kama main (GJ) na michepuko wawil Nasdaq na Usdzar.. full stop , nenda insta yake ana video kule kaweka (screen recorded) za trade za miez miwil nyuma.. dola 3000+ hadi dola 120k huko, hapo hapo ana account nyingine ambayo in zaid ya dollar lak 200k , kumchukia mtu ni uchaguzi wako ila kusambaza uongo sidhani kama ni sahihi broh , hafanyi hizo IB links, sijui commission, hafanyi

haya mambo yalifanyika kipindi cha TMT tu baaas
 
Ni kweli Sina fanbase Twitter Ni mgeni kule sababu sikuwa nikitumia Twitter before.

Seema nilipoona Jeff anawaseti watu awapige ndio Nika blow whistle si unaona I've saved people's life.

Kakimbia Twitter naona karudi Facebook kwa watoto.

Mwambie Kama forex Ina faida saana kwanini asitrade na familia Yake wawe matajiri wenyewe Kama Rotchild family au Rockefeller family?

Madogo mna vichwa vigumu saana.
Huyo Ontario aliekimbia twitter ni Ontario wa wapi ? ni nani huyu katoa hii challenge?
Screenshot_20200907-112021.jpg
 
Ontario hafanyi training , hana issue za IB link's , hana habari za commission

he makes money trading forex , na ana pair moja tu kama main (GJ) na michepuko wawil Nasdaq na Usdzar.. full stop , nenda insta yake ana video kule kaweka (screen recorded) za trade za miez miwil nyuma.. dola 3000+ hadi dola 120k huko, hapo hapo ana account nyingine ambayo in zaid ya dollar lak 200k , kumchukia mtu ni uchaguzi wako ila kusambaza uongo sidhani kama ni sahihi broh , hafanyi hizo IB links, sijui commission, hafanyi

haya mambo yalifanyika kipindi cha TMT tu baaas
Daaa mshkaji wewe kweli ulistahili ile laki.
Ni die hard fan

Au ni wewe ontario kwa id ingine?
 
Ontario hafanyi training , hana issue za IB link's , hana habari za commission

he makes money trading forex , na ana pair moja tu kama main (GJ) na michepuko wawil Nasdaq na Usdzar.. full stop , nenda insta yake ana video kule kaweka (screen recorded) za trade za miez miwil nyuma.. dola 3000+ hadi dola 120k huko, hapo hapo ana account nyingine ambayo in zaid ya dollar lak 200k , kumchukia mtu ni uchaguzi wako ila kusambaza uongo sidhani kama ni sahihi broh , hafanyi hizo IB links, sijui commission, hafanyi

haya mambo yalifanyika kipindi cha TMT tu baaas
Hizi IB links, commission, training fees, na spread pips charge ndizo anazitafuta kwa Sasa sababu ndio ziliwafanya wapate faida ya nusu billion pale TMT kutoka kwa watu walio watrain kupitia hizo components nilizotaja hapo juu.

Nimefanya Forex muda mrefu nazijua tricks almost zote za hii biashara.

Na Kama angekuwa anapiga hela kweli angeendelea kutrade mwenyewe kimyakimya ili apate faida mwenyewe. Kwanini anawatafuta zaidi watu kwa nguvu zote kwenye social networks zote?

Hujiulizi kwanini hawafundishi watu kumix na kutengeneza chakula Cha kuku? Wakati yeye ni mtaalamu wa ishu hizo? Anachokitafuta kwenye Forex Ni watu hili awafukumue kwenye hayo madude hapo juu!

Imagine second batch gharama ya training kila kichwa ilikuwa 100,000/= na kwenye trainings kwa zile sessions alipata watu 1000 Sasa zidisha kwa 100,000×1000= 100,000,000= hii Ni net profit bila Kodi Wala VAT. Achana na IB links, spread charges, e.t.c

Unfortunately hela zote alikutana na wasauzi(wazulu) alokuwa anafanya nao kazi... nao wakapita na mkwanja wote akabaki na mavi tu tumboni. Nikamkuta KB Bar ya Tegeta anakula mishkaki ya jero jero.

Ana haki ya kurudi tena kwa nguvu atafute makoro yake buku atangeneze milion 300,000,000= kwa mwezi mmoja. Just that! Na ingewezekana kwa nguvu ya kipawa cha ushawishi wa kitapeli aliyonayo tatizo hajui kuishi na watu vizuri ana kiburi, dharau, jeuri na maringo ambayo yatamchelewesha Sana kumfikisha kwenye climax Yake ya mafanikio maana Sasa Yuko busy kuharibu reputation yake badala ya kuijenga.
 
Hizi IB links, commission, training fees, na spread pips charge ndizo anazitafuta kwa Sasa sababu ndio ziliwafanya wapate faida ya nusu billion pale TMT kutoka kwa watu walio watrain kupitia hizo components nilizotaja hapo juu.

Nimefanya Forex muda mrefu nazijua tricks almost zote za hii biashara.

Na Kama angekuwa anapiga hela kweli angeendelea kutrade mwenyewe kimyakimya ili apate faida mwenyewe. Kwanini anawatafuta zaidi watu kwa nguvu zote kwenye social networks zote?

Hujiulizi kwanini hawafundishi watu kumix na kutengeneza chakula Cha kuku? Wakati yeye ni mtaalamu wa ishu hizo? Anachokitafuta kwenye Forex Ni watu hili awafukumue kwenye hayo madude hapo juu!

Imagine second batch gharama ya training kila kichwa ilikuwa 100,000/= na kwenye trainings kwa zile sessions alipata watu 1000 Sasa zidisha kwa 100,000×1000= 100,000,000= hii Ni net profit bila Kodi Wala VAT. Achana na IB links, spread charges, e.t.c

Unfortunately hela zote alikutana na wasauzi(wazulu) alokuwa anafanya nao kazi... nao wakapita na mkwanja wote akabaki na mavi tu tumboni. Nikamkuta KB Bar ya Tegeta anakula mishkaki ya jero jero.

Ana haki ya kurudi tena kwa nguvu atafute makoro yake buku atangeneze milion 300,000,000= kwa mwezi mmoja. Just that! Na ingewezekana kwa nguvu ya kipawa cha ushawishi wa kitapeli aliyonayo tatizo hajui kuishi na watu vizuri ana kiburi, dharau, jeuri na maringo ambayo yatamchelewesha Sana kumfikisha kwenye climax Yake ya mafanikio maana Sasa Yuko busy kuharibu reputation yake badala ya kuijenga.
Mishkaki ya jero wewe HKL una maneno sana saza hapo KB bar si ungempa hata kakwenzi.
 
Hizi IB links, commission, training fees, na spread pips charge ndizo anazitafuta kwa Sasa sababu ndio ziliwafanya wapate faida ya nusu billion pale TMT kutoka kwa watu walio watrain kupitia hizo components nilizotaja hapo juu.

Nimefanya Forex muda mrefu nazijua tricks almost zote za hii biashara.

Na Kama angekuwa anapiga hela kweli angeendelea kutrade mwenyewe kimyakimya ili apate faida mwenyewe. Kwanini anawatafuta zaidi watu kwa nguvu zote kwenye social networks zote?

Hujiulizi kwanini hawafundishi watu kumix na kutengeneza chakula Cha kuku? Wakati yeye ni mtaalamu wa ishu hizo? Anachokitafuta kwenye Forex Ni watu hili awafukumue kwenye hayo madude hapo juu!

Imagine second batch gharama ya training kila kichwa ilikuwa 100,000/= na kwenye trainings kwa zile sessions alipata watu 1000 Sasa zidisha kwa 100,000×1000= 100,000,000= hii Ni net profit bila Kodi Wala VAT. Achana na IB links, spread charges, e.t.c

Unfortunately hela zote alikutana na wasauzi(wazulu) alokuwa anafanya nao kazi... nao wakapita na mkwanja wote akabaki na mavi tu tumboni. Nikamkuta KB Bar ya Tegeta anakula mishkaki ya jero jero.

Ana haki ya kurudi tena kwa nguvu atafute makoro yake buku atangeneze milion 300,000,000= kwa mwezi mmoja. Just that! Na ingewezekana kwa nguvu ya kipawa cha ushawishi wa kitapeli aliyonayo tatizo hajui kuishi na watu vizuri ana kiburi, dharau, jeuri na maringo ambayo yatamchelewesha Sana kumfikisha kwenye climax Yake ya mafanikio maana Sasa Yuko busy kuharibu reputation yake badala ya kuijenga.
hiyo ilikua ni wakati wa TMT , sio sasahivi bro..

Na kuhusu swala la fursa, nenda kwenye page yake kule utakuta ame pini pale juu biashara ya mkonge , ni swala la ww ku copy na ku paste tu kama mtaji unao

for now hafanyi hayo unayoyasema , he bought share za kampuni fulan last year.. electric cars(sio tesla) share zake kwasasa zina value zaid ya dolla lak 500k , na hua anaweka kule ,

na sii lazima afundishe mtu kila kitu, hv unajua kuku wa nyama anafuga zaid ya elfu 20?? kwann ahangaike na laki moja ya mtu ? hafanyi training, hana habari za IB links wala commission, analima vitunguu, mpunga, mahindi. etc.tupambane kutafuta pesa na sio kuchafuana , haisaidii lolote, tujifunze kwa walio tutangulia vile vile uwe na siku njema
 
  • Thanks
Reactions: amu
hiyo ilikua ni wakati wa TMT , sio sasahivi bro..

Na kuhusu swala la fursa, nenda kwenye page yake kule utakuta ame pini pale juu biashara ya mkonge , ni swala la ww ku copy na ku paste tu kama mtaji unao

for now hafanyi hayo unayoyasema , he bought share za kampuni fulan last year.. electric cars(sio tesla) share zake kwasasa zina value zaid ya dolla lak 500k , na hua anaweka kule ,

na sii lazima afundishe mtu kila kitu, hv unajua kuku wa nyama anafuga zaid ya elfu 20?? kwann ahangaike na laki moja ya mtu ? hafanyi training, hana habari za IB links wala commission, analima vitunguu, mpunga, mahindi. etc.tupambane kutafuta pesa na sio kuchafuana , haisaidii lolote, tujifunze kwa walio tutangulia vile vile uwe na siku njema
daah sasa wewe atashindwa kukuibia kweli?
Labda wewe ndio uwe Ontario ndo hatoweza kukuibia.
 
JF panataka adabu saana... Vinginevyo ukijisahaulisha unaadhirika mapeema.

Nasubiri akujibu mkuu. Alipata kazi ya kukata majani hapo Moro!?
Unatatizo kwenye Ombwe wewe inauhusiano gani na suala uliloleta hapa.

Ulihisi humu kutakuwa na mbugira fataupepo jibu hoja unazoulizwa sio unarukaruka kipimbi.
 
Wewe jamaa
Hizi IB links, commission, training fees, na spread pips charge ndizo anazitafuta kwa Sasa sababu ndio ziliwafanya wapate faida ya nusu billion pale TMT kutoka kwa watu walio watrain kupitia hizo components nilizotaja hapo juu.

Nimefanya Forex muda mrefu nazijua tricks almost zote za hii biashara.

Na Kama angekuwa anapiga hela kweli angeendelea kutrade mwenyewe kimyakimya ili apate faida mwenyewe. Kwanini anawatafuta zaidi watu kwa nguvu zote kwenye social networks zote?

Hujiulizi kwanini hawafundishi watu kumix na kutengeneza chakula Cha kuku? Wakati yeye ni mtaalamu wa ishu hizo? Anachokitafuta kwenye Forex Ni watu hili awafukumue kwenye hayo madude hapo juu!

Imagine second batch gharama ya training kila kichwa ilikuwa 100,000/= na kwenye trainings kwa zile sessions alipata watu 1000 Sasa zidisha kwa 100,000×1000= 100,000,000= hii Ni net profit bila Kodi Wala VAT. Achana na IB links, spread charges, e.t.c

Unfortunately hela zote alikutana na wasauzi(wazulu) alokuwa anafanya nao kazi... nao wakapita na mkwanja wote akabaki na mavi tu tumboni. Nikamkuta KB Bar ya Tegeta anakula mishkaki ya jero jero.

Ana haki ya kurudi tena kwa nguvu atafute makoro yake buku atangeneze milion 300,000,000= kwa mwezi mmoja. Just that! Na ingewezekana kwa nguvu ya kipawa cha ushawishi wa kitapeli aliyonayo tatizo hajui kuishi na watu vizuri ana kiburi, dharau, jeuri na maringo ambayo yatamchelewesha Sana kumfikisha kwenye climax Yake ya mafanikio maana Sasa Yuko busy kuharibu reputation yake badala ya kuijenga.
Wewe jamaa unautoto mwingi sana kumkuta KB Bar ndio hoja yako nini hapa...huna hoja zinazoeleweka nenda twitter huko kaendelee kutafuta follower hatugawi kiki hapa.
 
Unahisi unaweza kuHold battle kwa akiri yangu ndogo mdau ana real die fans kachafuliwa na kila aina ya uchafu still anawatu wasiotaka elewa chochote utachoandika hata uandike huku unashuka mbinguni.

Mkuu uwezi hujiongezi fans wake wamekula sahani moja na Mabroo wote kule twitter mpaka Babayao Kigogo kaingilia kati still wamenchezeshea spana kama nyuki Kigogo nani asiyemjua.

Sasa wewe huna fanbase yoyote siunatwanga maji kwenye kinu boy nini kuchoma mafuta.
Duh "real die fans"

nimecheka sana !

vijana tunaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Nenda na miutopolo yako.

Uwezo wako mkubwa then unadai umetaperiwa 10M unaina sisi watoto.

Uwezo wakk mkubwa hadi leo unasema hujawa profitable usione utabuluza kilamtu humu labda huko twitter hili jukwaa.
Hela ya dhuluma haiwezi kumfikisha mbali.
 
Ni kweli Sina fanbase Twitter Ni mgeni kule sababu sikuwa nikitumia Twitter before.

Seema nilipoona Jeff anawaseti watu awapige ndio Nika blow whistle si unaona I've saved people's life.

Kakimbia Twitter naona karudi Facebook kwa watoto.

Mwambie Kama forex Ina faida saana kwanini asitrade na familia Yake wawe matajiri wenyewe Kama Rotchild family au Rockefeller family?

Madogo mna vichwa vigumu saana.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Yaan umerudi kidogo tu sina mbavu leo wewe
 
Kuna watu kibao humu JF walituasa kwamba Forex ni utapeli hilo kwanza napingana nalo kwa nguvu zote sababu sio kweli kwamba forex ni utapeli kabla sijafunguka mengine niwathibitishie nimejiridhisha bila hata lepe la mashaka kwamba Forex is real and its my future lifestyle na binafsi sijioni nikikoma kufanya Forex licha ya haya magumu ninayopitia bali mawazo yao ninayachukuliaga kama catalyst ya kutaka kuzidi kuijua hii biashara kwa mapana zaidi kujua weakness na strength zake na kujua potential scammer, wezi na matapeli wakoje maana wametawala hii biashara kwa kiasi kikubwa kutokana na kuwa na money liquidity kubwa kuliko soko lolote duniani..more than 6 trillion USD is traded daily on the Global financial exchange market..hiki ni kiasi kikubwa sana hivyo matapeli huwa wanazengea zengea kwenye magap Kama haya yenye mkwanja mrefu..my economic cake pie is in Forex that's why I wont quit it easily.

But changamoto kubwa ya Forex ni hawa brokers na trainers..ninaposema trainers nazungumzia mtu kama Ontario hawa waliochungulia fursa mapema na kuintroduce kwa watu nchini kwa kigezo cha kuitoa elimu kwa bei sawa na bure tusijue wana agenda yao ya siri na Wasauzi ya kutaka kuwaliza watanzania wenzao.

Ontario ni mtunzi mzuri wa story na ana kipawa cha kusimulia na kushawishi kwa ufasha na ni mtu mwenye uelewa mpana wa mambo but anakosa kitu muhimu sana katika maisha uwezo wa kusocialize na watu in harmony..he is not a leader he is a boss na ukiangalia there is a thin line between a leader and a Boss..Ontario ana dharau, kiburi, na kejeli mbaya sana bila kujalisha umri wa anaeongea nae. Hana attentive listening ukiongea nae anakuangalia kama Choo cha shimo na hajali lolote najua wengi waliokutana nae watakiri huu ukweli mchungu kwake ukiona mtu ana urafiki na Ontario ujue huyo mtu analazimika kujishusha sana kwa huyu dogo ili waende along. Huwa nashangaa ni rafiki sana na Bold. Pole sana Bold..I know what you going through.

Wahenga humu walituhasa kwamba ukiitwa kwenye fursa tafakari mara mbili yaweza kuwa wewe ndio fursa.anyways tulipoitwa kwenye fursa mwanzoni mambo yalienda vizuri na humu tulikuwa tunavurumusha screenshot za profit tu kwa maelekezo ya Ontario ili tuwakoge haters hadi haters wakafyata but kadri siku zilivyoenda mambo yakawa kimya ikawa ni loss daily tu watu wamechukua viinua mgongo vyote vikafyekwa sokoni. Hakyamungu!

Saga lilianza around mwezi wa kumi baada ya Ontario kula njama ya siri na broker awe anampa pips 2 kwa kila kichwa na zikiwa zinatoka calls kibao kombo kwa siku na zote zilikuwa sio accurate hivyo na watu kutengenezewa mazingira ya kutrade more often inamaanisha wakitrade watu 1000 wakafungua position 7 kila mmoja na idadi ya spreads pips anazopewa kutoka kwa broker kwa mtu mmoja ni 2..kimahesabu anapata 1000×7×2= 14,000 pips hizi ni dola kibao kwa siku ..wandugu wanojua mahesabu zaidi wanajua ni madola kiasi gani jamaa kavuta, hili suala alituficha but aliwahi kusema "Bob Marley you can fool some people for sometime but you can't fool all the people all the time"... Tukashtuka..tukamuuliza..akakubali ila akakiri alituficha na hayo mamilion yanayopatikana ni kwa ajili ya kuendeshea ofisi ya TMT co Ltd iliyoko pale Jangid plaza.. Watoto wa maskini tukakubali tu kwa shingo upande ila tukawa tumeghafilishwa na kusikitishwa sana na hizi njama zao..hili likapita na tukajilazimisha kulimeza maana ukipenda boga upende na ua lake.

Tamaa ni mbaya sana..licha ya kuchukua mamilion kutokana na hizo pips hawakuridhika..bado tena walikuwa wanachukua pesa kibao kwa siri kwa ajili ya IB link kwa affiliate program waliotuunga nayo siku tunamaliza mafunzo bila ridhaa yetu kutoka kwa broker kwa sisi tukipata loss sokoni wao wanapata chochote maana broker wao ni market marker. Hakyamungu! People are heartless.

Kama ilivyo asili ya watu wenye tamaa mbaya wakivurugana basi wao hukimbilia kutafuta sympathy ya Wateja..juzi wakavurugana broker na TMT kama ilivyo tabia ya wezi na matapeli kugeukana.. Majuzi wenyewe wanakuja na habari kwamba yule Broker ni market Maker na mwizi..kweli? Wakati wewe mentor umeishi South afrika na umekuwa Trader kwa miaka kibao bado hujui status ya broker unae trade nae? Na inakuwaje mrecomend broker mwenye walakini na competency na efficiency yake? Broker nae anajitetea kwa kutuma texts kwa Wateja privately akimtuhumu huyo mentor kuwa ni batili na mbabaishaji na kuwasihi watu wamuignore!? Blalifuli!

Tangu mwanzo mchakato uligubikwa na walakini mkubwa uliokuwa unaendelea..kwanza kumlazimisha mtu afungue real account baada ya siku tano tu za kumaliza mafunzo na aweke laki tano kuanza kutrade ilikuwa ni ishara ya wizi wa wazi sema tulikuwa na trust na maneno sukari ya Ontario, thus we were blinded and we had fear of missing out easy Money.. Hatukujua!

Kutoa calls zaidi ya 7 kwa siku ni ishara mbaya ya kuwafanya clients waovetrade then wao wapige hela. Wizi huu.

Kuwaambia watu waongeze position ilhali wako in deep red ilikuwa ishara ya wizi, kuwataka watu waburn account zao wao wanufaike.

Kudiscourage matumizi ya stop loss ilhali ndio silaha ya kukinga mtaji wako kwenye Forex ilikuwa ishara ya wizi.

Watu wapoteze zaidi ili mpate zaidi maana kila ijumaa ilikuwa tunapunwa hela yote ya wiki nzima.

Mungu sio Sholo Mwamba, Yule broker market maker aliekuwa anatupiga sisi kwa tamaa kapitiliza kawafanyia mtimanyongo hadi kampuni ya TMT kaipuna zaidi ya nusu billion mapema mwezi wa kwanza. Imagine kampuni hii Changa ya huyu dogo imewazaje kupata nusu billion kwa muda mfupi hivi? Ni mikwanja aliyotuibia sisi misukule wake. But in life! "easy come..easy go"..ukikipata kiwepesi..kitaondoka kiwepesi pia. Nusu billion gone in a single month. Kweli JP Market broker ni hayawani!

Nitoe Rai kwa Ontario...sio kwamba namchukia hapana Bali naamini biashara inayohusisha watu moja kwa moja haiwezi kutokana na tabia yake mbaya ya asili..biashara na dharau, kebehi, utapeli na matusi havichangamani milele. Ni vyema akaendela na kilimo apate mil 19 zake kwa siku. Ameharibu kitu muhimu sana katika maisha yake ya biashara "Brand" and trust ya watu wengi aliowavuta kwa maandishi matamu humu JF..Trust ya watu pekee ni mtaji mkubwa kuliko hata mtaji wa fedha.

Fid Q aliwahi kusema neno lenye utamu siku zote halina ukweli na neno lisilo na utamu ndio lenye ukweli ndani yake. Tuwe makini sana na maneno matamu ya watu wa kariba ya Ontario.

Kwenye ile thread yake ya Namna alivyopiga milion 19 alipata kusema hivi "shika akili zao waachie mioyo yao" ndio kauli mbiu yake guys tuwe makini dogo asishike akili zetu kirahisi.

Namshukuru kwa kutuletea fursa hii adhimu lakini isiwe sababu ya kutuibia, kututapeli na kutunyanyasa economically and emotionally.

Rai kwa traders waliopigwa za uso na ndugu yao.."if you want to be strong learn how to fight alone" kwa kuwekeza Kwenye skills and self learning tunaweza kuwa self consistency profitable traders..let's ignore TMT they are scammer and predators and I don't recommend anyone to trust them.

Don't hate the game, hate the player.

Oooooopsiiii! Finally misukule wa Ontario tuko huru but tuko nyang'anyang'a kiuchumi. But it feels good kuwa huru.

Forex sio utapeli, matapeli ni mawakala wake.

Ni bora walimkavu...kuliko walimwengu!

Freedom!.
Aissee
 
Long Live ONTARIO..

Fx ndio imenifanya nipate Canadian VISA, mwaka uliopita nilitengeneza more than $28,000 hizo hizo ndio nikatumia kuonyesha ubalozi wakanipa VISA.

Wasaga meno endeleeni
 
Ndio maisha kula na kuliwa ni kawaida!
Kuwa makini na fursa nyepesi2 hamna fedha ipo ipo tu wekeza kwy elimu husika na zakuambiwa changanya na za kwako!
 
Back
Top Bottom