Hivi ndivyo tulivyotapeliwa na Ontario wa TMT kwenye Forex

At the peak ya haya mambo niliandika mada ya uchambuzi kuhusu forex.. Sikuwa na upande bali niliandika kama uchambuzi... Dah siisahau ile mada niliandamwa mno huku nikiambiwa najua nini ni afadhali nibaki na matunguli yangu mambo ya forex niwaachie wajuzi... Mwishowe mada ikawa executed...! Sikukubali nikapambana mpaka ikarudishwa... Wale ndugu sio nao ni wahanga!?
Mkuu huo uzi unaitwaje niusakue...!! nione jins ulivyotema madini watu wakakutolea nje
 
Mitanzania ndivyo tulivyo. Kuna mifuasi huielezi kitu mbele ya Ontario, Jiwe au Mboee.. inashabikia watu badala ya facts! Pumbavu kabisa
 
Kwendraaaaas
*STICK WITH BIG BROKERS, WHO ARE PROMINENT & HAVE BEEN TRIED & TESTED ALREADY. BEYOND REASONABLE DOUBT THEY ARE PROVED TO BE HONEST, PURE ECN,SMALL SPREADS FROM ZERO, OPEN & TRANSPARENT.*

*TO OPEN LIVE ACCOUNT & IF YOU WANT ME TO GUIDE YOU THROUGHOUT THE WHOLE PROCESS TILL YOU HAVE REACHED MT4 LIVE ACCOUNT. TICKMILL IS THE LEADING BROKER.*

*FEEL COMFORTABLE BY REGISTERING YOURSELF USING THE LINK BELOW.*




_*MEMBERS* USE THIS LINK_

https://secure.tickmill.com/redirec...ure.tickmill.com/trader/?task=1050&lang=2

*NOTE*

Below are the main points why to use Tickmill:

IpayAfrica mobile deposit / withdrawal option ( by next week will be available )

Those who will register with Tickmill using that IB link will get a discount on the commission charged on their trading activity on Pro account

Excellent trading conditions
Fast execution
Spreads from 0.0
85 Trading Instruments
No requotes
Negative Balance protection
Strong regulation
Segregated accounts
Industry Awarded
EAS and Algos Allowed
Fast withdrawals without commissions
Support in 15 languages via Chat, online message, email and phone
Mon-Fri 07:00-20:00 (GMT)
 
Group lingine la ontarion

 
D9 ni zengwe Forex haina shida kama nikivyoeleza tatizo ni kwa wale ma agents wake ndio wamejaa ukatili na tamaa mbaya.

Nakushauri jifunze Forex Sio mbaya...D9 kitaalamu inaitwa ponzi scheme huu ndio utapeli mkubwa.
Ili upate pesa lazima hisani ya mtu ihusike eti?
Yaani mtu anatafuta fedha, wewe umezipeleka hela halafu unataka mtarazaki akuhurumie asizichukue?!!!

WANAOBETI WAKO SALAMA ZAIDI
 
Back
Top Bottom