Mpekenyeke
Member
- Nov 4, 2017
- 8
- 12
Tatizo mnapenda sana kuwaamin wazungu!hata akikwambia sasa hivi usiku na ni mchana wa jua kali utaamini.wazungu wametushikia akili sana wanatuburuza pembe kumbe hakuna majinga km haya.mi nimeishi nayo sana nayajua
Tatizo mnapenda sana kuwaamin wazungu!hata akikwambia sasa hivi usiku na ni mchana wa jua kali utaamini.wazungu wametushikia akili sana wanatuburuza pembe kumbe hakuna majinga km haya.mi nimeishi nayo sana nayajua
Hahahah Mungu sio fala.....Damu ya Lissu iliyopotea haitaenda bure , wasiojulikana na waliowatuma watambue hili .
Mungu siyo fala .
Una umri gani ?Kelele za chura....
..., si Kila mzungu anaakili, wengine ni bourges, kama huyu
Kweli mkuu....umeishi na wazungu WA kolomijeTatizo mnapenda sana kuwaamin wazungu!hata akikwambia sasa hivi usiku na ni mchana wa jua kali utaamini.wazungu wametushikia akili sana wanatuburuza pembe kumbe hakuna majinga km haya.mi nimeishi nayo sana nayajua
Inawezekana huna uwezo wa kujua uwezo wao. Umaskini wa akili hudhihirika katika uwezo wa kuyafikia maendeleo. Leo hii unapanda ndege zao, unatumia simu zao, unatumia dawa zao, unasafiria magari yao, unatumia computer zao. Unaishi kwa kutegemea misaada yao, halafu wakuzidi ujinga!! Wewe lazima ni mjinga shujaa.Tatizo mnapenda sana kuwaamin wazungu!hata akikwambia sasa hivi usiku na ni mchana wa jua kali utaamini.wazungu wametushikia akili sana wanatuburuza pembe kumbe hakuna majinga km haya.mi nimeishi nayo sana nayajua
We sio mzima upimwe mkojoTatizo mnapenda sana kuwaamin wazungu!hata akikwambia sasa hivi usiku na ni mchana wa jua kali utaamini.wazungu wametushikia akili sana wanatuburuza pembe kumbe hakuna majinga km haya.mi nimeishi nayo sana nayajua
Tatizo mnapenda sana kuwaamin wazungu!hata akikwambia sasa hivi usiku na ni mchana wa jua kali utaamini.wazungu wametushikia akili sana wanatuburuza pembe kumbe hakuna majinga km haya.mi nimeishi nayo sana nayajua
Hatuzungumzii mzungu mmoja mmoja bali tunazungumzia wazungu kama jamii. Na pia uwatazame waafrika kama jamii.Kelele za chura....
..., si Kila mzungu anaakili, wengine ni bourges, kama huyu
Hapo kwenye red unamaanisha nini mkuu?Kelele za chura....
..., si Kila mzungu anaakili, wengine ni bourges, kama huyu