cosa nostra
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,773
- 1,801
Tunakuombea Full recovery Mpambanaji Lissu
Uwezo ulionao kwa sasa ni SALA na rasilimali PESA kuchangia matibabu yake!Yaani inaumiza mno, kila ukiwaza alivyokua anashtuka risasi zinapovunja mifupa Yale maumivu moyoni nawaza tofauti Sana, laiti ningekua na uwezo sijui ningefanyaje kwakweli.
AMINAAlafu unakuta watu kila wakisimama wanatumia jina LA Mungu kutafuta kuaminiwa na wananchi..Ee Mungu baba wa mbinguni nakuomba ukaonekane katika wale wote wakudhihakiao nakulitumia jina lako kuhadaa watu.Mponye kamanda wetu lissu na uwaoneshe watesi wake kama wewe ni Mkuu.kwa jina LA Yesu kristo aliye hai.
Sent using Jamii Forums mobile app
So painfullBinadamu tumekuwa na roho mbaya Sana, yaani unam miminia mwenzako risasi zaidi ya 30 ?
Aisee huu ni unyama usio kubalika hata kidogo, get well soo TL.
Hakuna dili linalomneemesha Mbowe kama hili katika historia yake kwenye ulingo wa kisiasa.....na fulana zimechapishwa, zinauzwa huko Instagram. Chezea mchaga na fursa !
Kutokana na huo mchoro Nmejaribu kuwaza how is it possible Mguu wa Kulia uumie zaid kuliko wa kushoto considering the fact that Mguu wa kushoto ndio ulikuwa mlangoni unapokaa kwenye gar na Pia ndio upande uliopigwa na risasi zaid kuliko upande wa dereva.
Sjui ila nmewza tu from the image.
Okey its possible piaNi position ya miguu tu!! Inawezekana wa kulia alinyoosha wa kushoto kakunja!! Pale wa kulia ulipokuwa ndipo risasi nyingi zikamiminikia hapo. Au vice versa lakini kikubwa miguu inaonekana haikukaa sawa, aliipishanisha na ulipokuwa wa kulia ndipo palishambuliwa zaidi!!
siku za hivi karibuni sijamsikia tena akisema tumwombee,hii ikojeTunaambiwa tuwaombee
Eti nae hakosolewi.....' ....ngoma ikilia sana yakaribia kupasuka... 'Kumbe kubenea yupo sahihi kuliko ndugai?
Sikuhizi amekuwa na uwezo wa kutoa roho za watu kama Mungu hahaitaji tena maombisiku za hivi karibuni sijamsikia tena akisema tumwombee,hii ikoje
Linaweza kuzidi lile la wahanga wa Tetemeko au la wanafunzi wa Arusha?Hakuna dili linalomneemesha Mbowe kama hili katika historia yake kwenye ulingo wa kisiasa.
Labda wewe na 'wenzako' huko kwenu.Tuliomba nasi tupate Kagame mmesahau Mara hii?
Au Mlitaka Kagame kwa maana ya urefu na Wembamba Sio leadership style yake?
Kama ni kweli basi atakuwa anavaa nappy sikuhiziAdolph Hitler bado anaishi
Kabla hajatoa pole kwa Mh. Lisu!?Ghafla kwa taarifa hii utamsikia mwakayembe akikurupuka nakuagiza kulipiga marufuku hili li gazeti kwa agizo toka juu