Hivi ndivyo ninavyo ingiza kipato cha 30,000 kwa siku baada ya kubadili fikra zangu

Nashukuru sana mkuu,mimi bado sina ofisi maana ndo nime anza natamani niki pata mtaji nianze process za kusajili kampuni ya usafi ili niweze kupata soko pia katika taasisi ambako kwa sasa siwezi kufika.

Pia kuhusu hiyo 30,000 ni faida yangu maana matumizi ya dawa si makubwa hii dawa ina tumika kidogo sana naweza tumia Lita 3 tu kwa nyumba nzima ikiwa ni pamoja na Tiles na kama ni masink tu ni chini ya hapo pia dawa natengeneza mwenyewe kwa gharama ndogo tofauti na kununua.

Kuhusu gharama za uendeshaji sana sana kwa sasa ni nauli , chakula kabla ya kazi na baada ya kazi pamoja na dawa ndo vinavyo nigharimu.

Kuhusu Imani kwa wateja inatokana na aina ya mtu nnaye kutana naye na asiye weza kuni amini namuuzia dawa akiona matokeo yake ana nitafuta nimfanyie kazi.
mimi nahtaj kufanya hyo kazi..naomba maelekezo tafadhal
 
Ukiwa na akili mjini hela ni za kufikia tu, vijana wengi wamejaa ubishoo tu,hasa wanaojiita wasomi ni very selective kwenye maswala ya utafitaji, wanaishia kuwa wapiga mizinga ,mashoga ,na kutafuta majimama ya kuwatunza ,
Hongera sana kijana kwa kuthubutu
 
Ukiwa na akili mjini hela ni za kufikia tu, vijana wengi wamejaa ubishoo tu,hasa wanaojiita wasomi ni very selective kwenye maswala ya utafitaji, wanaishia kuwa wapiga mizinga ,mashoga ,na kutafuta majimama ya kuwatunza ,
Hongera sana kijana kwa kuthubutu
Nashukuru mkuu 🙏🙏🙏
 
Duh toka nijiunge jf nadhani ndio uzi wa kwanza wa fursa kwamimi ambao hauna makando kando.

Nyuzi nyingi zipo ila nyingi wewe uliyeletewa fursa ndio uwe fursa kwa mleta Uzi

Hongera mkuu, ubarikiwe
Tangazo hilo
 
Back
Top Bottom