APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,682
kama inawezekana tunaweza kuwa partner
Tupe naww madini tujifunze mkuuAhsante sana.Umenitia moyo japo mimi nafanya ishu tofauti na hiyo nimepata kitu hapo
Amina nashukuru sana mkuu 🙏🙏 ubarikiweBig up sanaaa broooh na mungu akuzidishie baraka tele na soko lako likuwee hata kimataifaaa👏🏿👏
#timuhainakufelii.
Karibu bossNipe mchongo mkuu
Sawa karibu boss muhimu kupambana tukama inawezekana tunaweza kuwa partner
mimi nahtaj kufanya hyo kazi..naomba maelekezo tafadhalNashukuru sana mkuu,mimi bado sina ofisi maana ndo nime anza natamani niki pata mtaji nianze process za kusajili kampuni ya usafi ili niweze kupata soko pia katika taasisi ambako kwa sasa siwezi kufika.
Pia kuhusu hiyo 30,000 ni faida yangu maana matumizi ya dawa si makubwa hii dawa ina tumika kidogo sana naweza tumia Lita 3 tu kwa nyumba nzima ikiwa ni pamoja na Tiles na kama ni masink tu ni chini ya hapo pia dawa natengeneza mwenyewe kwa gharama ndogo tofauti na kununua.
Kuhusu gharama za uendeshaji sana sana kwa sasa ni nauli , chakula kabla ya kazi na baada ya kazi pamoja na dawa ndo vinavyo nigharimu.
Kuhusu Imani kwa wateja inatokana na aina ya mtu nnaye kutana naye na asiye weza kuni amini namuuzia dawa akiona matokeo yake ana nitafuta nimfanyie kazi.
kaka hebu tutafutane hapa 0621738962 watssp....niko tayar tufanye kazi pliizSawa karibu boss muhimu kupambana tu
Sawa mkuu hamna tatizo ntakupigiakaka hebu tutafutane hapa 0621738962 watssp....niko tayar tufanye kazi pliiz
Mimi ni mteja nataka kukuunga mkono kazi yako, weka namba hapa kwa faida ya wengi na mimi nitakupigia uniletee hiyo service home.Sawa mkuu hamna tatizo ntakupigia
Sawa mkuuMimi ni mteja nataka kukuunga mkono kazi yako, weka namba hapa kwa faida ya wengi na mimi nitakupigia uniletee hiyo service home.
Nashukuru mkuu 🙏🙏🙏Ukiwa na akili mjini hela ni za kufikia tu, vijana wengi wamejaa ubishoo tu,hasa wanaojiita wasomi ni very selective kwenye maswala ya utafitaji, wanaishia kuwa wapiga mizinga ,mashoga ,na kutafuta majimama ya kuwatunza ,
Hongera sana kijana kwa kuthubutu
Hujaweka contact zako mpaka leo!!Sawa mkuu
Tangazo hiloDuh toka nijiunge jf nadhani ndio uzi wa kwanza wa fursa kwamimi ambao hauna makando kando.
Nyuzi nyingi zipo ila nyingi wewe uliyeletewa fursa ndio uwe fursa kwa mleta Uzi
Hongera mkuu, ubarikiwe
Ni vizuri kama ni njia sahihi kufanya hivyo unaweza pia kuweka tangazo uka pata clients kwa kile unacho kifanyaTangazo hilo
Asante mkuu 🙏🙏🙏Wazo la nguvu Sana kiongozi,