Hivi ndivyo ninavyo ingiza kipato cha 30,000 kwa siku baada ya kubadili fikra zangu

Habari ya leo wakuu,mimi ni kijana wa kiume naishi Dar najihusisha na ujasiriamali wa usafi na dawa kwa uchafu sugu katika Tiles,Masink,Vioo na Sofa.

Mwezi wa 10 mwaka jana nili hama kimakazi kutoka mkoani kuja Dar lengo likiwa ni kutafuta kazi ama shughuri yoyote ya kuni ingizia kipato maana nili amini huku fursa za kazi ni nyingi tofauti na mikoani.

Nilipo fika nika anza kutafuta kazi kila sehemu kulingana na uzoefu wangu hasa shughuri za masoko na mauzo,kwakweli ili kuwa mtihani kupata kazi hata ya kuchoma chips na nyama maana pia nna uzoefu nayo.

Nilipo ona kuna changamoto ya kuendesha maisha hata kuhudumia familia ikawa tabu maana nna mke na mtoto 1 ikanibidi nianze kukopa pesa kwa watu nnao fahamiana nao kwa kuweka kisingizio ambacho nili hisi siwezi kukosa pesa, changamoto ilikuwa ni kutumia pesa ikaisha na sijui nta pata vipi nyingine na namna ya kuirejesha kama nilivo ahidi maana nili ahidi baada ya wiki 1 tu ili kumshawishi mtu kunipatia pesa.

Miezi kadhaa iliyo pita nika ona mdau mmoja wa humu Jamii Forum kwa jina lake "Digital Base" ali post uzi unao elezea njia kadhaa za kujiajiri katika usafi hasa uchafu sugu kwenye Tiles Masink na Sofa.

Nili chukua yale maelekezo yake nikaenda kufanyia kazi japo changamoto nilikutana nayo katika namna bora ya kung'arisha ili kurudisha mng'ao na dawa nzuri ya kutumia.

Nili amua kumtafuta ili anisaidie maelekezo zaidi ili niweze kufanya kazi hiyo kwa ufanisi kwakweli namshukuru sana huyu Kaka alinisaidia maelekezo yaliyo niwezesha kuwa fundi na mtaalam wa viwango ambapo kwa sasa naweza kung'arisha hata sink lililo fubaa sana ama Tiles zilizo fubaa.

Kwa sasa kila siku naingia mtaani naongea na watu pia natumia mitandao ya kijamii hasa Facebook kutafuta wateja na kwa siku sikosi 30,000 na kuna baadhi ya siku napata mpaka 100,000 maana naweza kwenda nyumba ya mtu nika msafishia Sofa, Masink,Tiles na pia ana nipa kazi mpaka kwa wapangaji wake namfanyia kazi na bado ana niunganisha na watu wengine maana namfanyia usafi wa viwango vya juu sana kiasi ambacho haku tegemea alikuwa na mpango Kubadili sink aweke jipya lakini Mimi nang'arisha hilo hilo lina rudi kuwa jipya ama kupaka rangi kwenye tiles ili kuziba uchafu lakini Mimi namsaidia kuondokana na hiyo changamoto na kupunguza gharama.

Kwahyo ndugu yangu ama rafiki unaye kaa bila kazi kwa kusema kuwa ajira hamna tunaweza kushirikiana kufanya kazi kwa pamoja na ikiwezekana tufanye uzalishaji wa dawa za usafi za kung'arishia Tiles na Masink maana pia nime fundishwa na yule Mr natumia dawa zangu mwenyewe kufanyia usafi kwahyo ikiwa mtaji utakuwa mkubwa tunaweza kuzalisha bidhaa nyingi zingine tuka uza kwa wateja wetu wanao hitaji dawa tu au tulio wafanyia huduma.

Natamani sana Vijana wenzangu pia wapate ujuzi huu na formula hii inaweza kukusaidia kuingiza Kipato cha uhakika kila siku maana mteja mwingine uliye mfanyia kazi anaweza kuku unganisha na rafiki yake mwingine.

Asanteni sana Jamii Forum kwa kutu unganisha hapa kuna watu wana nia ya kweli kusaidia wana jukwaa wenzao ili wafaidike pia .

Asante sana Jamii Forum.
Mimi naomba namba ya huyo aliyekufundisha na ya kwako ili mnifundishe kwa pamoja maana nitaelewa vyema zaidi maana naishi mjini kama paka tuu nasubiria makombo.
 
naomba link ya uzi wa yule Mr. aliyekufunulia yote nami niusome kwanza
Dizain kama naamini dizaini kama nasita sijui kwa nini.
Muhimu simamia unacho kiamini ndo kitu pekee chenye upenyo wa mafanikio yako wala si kila kitu kinaweza kuku faa mkuu Kama una sita ujue si fursa ya kuku inua kwa upande wako.
 
Unahitaji vijana wangapi?

Atakayejiunga na wewe awe na minimum mtaji wa sh.ngapi?

Asiye na mtaji wala ujuzi upo tayari kumpokea na kumfundisha?
Inategemea utayari wake na mentality yake ikoje boss maana mtu anaweza kuja lakini mawazo yake yapo kutafuta ajira badala ya kufikiria namna ya kukuza project
 
Habari ya leo wakuu,mimi ni kijana wa kiume naishi Dar najihusisha na ujasiriamali wa usafi na dawa kwa uchafu sugu katika Tiles,Masink,Vioo na Sofa.

Mwezi wa 10 mwaka jana nili hama kimakazi kutoka mkoani kuja Dar lengo likiwa ni kutafuta kazi ama shughuri yoyote ya kuni ingizia kipato maana nili amini huku fursa za kazi ni nyingi tofauti na mikoani.

Nilipo fika nika anza kutafuta kazi kila sehemu kulingana na uzoefu wangu hasa shughuri za masoko na mauzo,kwakweli ili kuwa mtihani kupata kazi hata ya kuchoma chips na nyama maana pia nna uzoefu nayo.

Nilipo ona kuna changamoto ya kuendesha maisha hata kuhudumia familia ikawa tabu maana nna mke na mtoto 1 ikanibidi nianze kukopa pesa kwa watu nnao fahamiana nao kwa kuweka kisingizio ambacho nili hisi siwezi kukosa pesa, changamoto ilikuwa ni kutumia pesa ikaisha na sijui nta pata vipi nyingine na namna ya kuirejesha kama nilivo ahidi maana nili ahidi baada ya wiki 1 tu ili kumshawishi mtu kunipatia pesa.

Miezi kadhaa iliyo pita nika ona mdau mmoja wa humu Jamii Forum kwa jina lake "Digital Base" ali post uzi unao elezea njia kadhaa za kujiajiri katika usafi hasa uchafu sugu kwenye Tiles Masink na Sofa.

Nili chukua yale maelekezo yake nikaenda kufanyia kazi japo changamoto nilikutana nayo katika namna bora ya kung'arisha ili kurudisha mng'ao na dawa nzuri ya kutumia.

Nili amua kumtafuta ili anisaidie maelekezo zaidi ili niweze kufanya kazi hiyo kwa ufanisi kwakweli namshukuru sana huyu Kaka alinisaidia maelekezo yaliyo niwezesha kuwa fundi na mtaalam wa viwango ambapo kwa sasa naweza kung'arisha hata sink lililo fubaa sana ama Tiles zilizo fubaa.

Kwa sasa kila siku naingia mtaani naongea na watu pia natumia mitandao ya kijamii hasa Facebook kutafuta wateja na kwa siku sikosi 30,000 na kuna baadhi ya siku napata mpaka 100,000 maana naweza kwenda nyumba ya mtu nika msafishia Sofa, Masink,Tiles na pia ana nipa kazi mpaka kwa wapangaji wake namfanyia kazi na bado ana niunganisha na watu wengine maana namfanyia usafi wa viwango vya juu sana kiasi ambacho haku tegemea alikuwa na mpango Kubadili sink aweke jipya lakini Mimi nang'arisha hilo hilo lina rudi kuwa jipya ama kupaka rangi kwenye tiles ili kuziba uchafu lakini Mimi namsaidia kuondokana na hiyo changamoto na kupunguza gharama.

Kwahyo ndugu yangu ama rafiki unaye kaa bila kazi kwa kusema kuwa ajira hamna tunaweza kushirikiana kufanya kazi kwa pamoja na ikiwezekana tufanye uzalishaji wa dawa za usafi za kung'arishia Tiles na Masink maana pia nime fundishwa na yule Mr natumia dawa zangu mwenyewe kufanyia usafi kwahyo ikiwa mtaji utakuwa mkubwa tunaweza kuzalisha bidhaa nyingi zingine tuka uza kwa wateja wetu wanao hitaji dawa tu au tulio wafanyia huduma.

Natamani sana Vijana wenzangu pia wapate ujuzi huu na formula hii inaweza kukusaidia kuingiza Kipato cha uhakika kila siku maana mteja mwingine uliye mfanyia kazi anaweza kuku unganisha na rafiki yake mwingine.

Asanteni sana Jamii Forum kwa kutu unganisha hapa kuna watu wana nia ya kweli kusaidia wana jukwaa wenzao ili wafaidike pia .

Asante sana 🙏🙏 ❤️ Jamii Forum.
Aisee huu uzi kwanini usiwekwe kule stories of change????
 
Boss mimi WhatsApp number yangu ni 0624857718, ni mtu ninayependa kujituma Kwa kweli nichek ikikupendeza tufanye kazi Kwa pamoja. Nimependa hii✊
 
Boss mimi WhatsApp number yangu ni 0624857718, ni mtu ninayependa kujituma Kwa kweli nichek ikikupendeza tufanye kazi Kwa pamoja. Nimependa hii✊
Kikubwa maelewano na makubaliano mazuri Katika kazi au aina ya chaguo lako la kufanya kazi kwa pamoja kwa malengo
 
85 Reactions
Reply
Back
Top Bottom