Hivi ndivyo nilivyomuelewa Rais Magufuli, siyo huu upotoshaji wa makusudi kuhusu ujenzi wa reli

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
Ijumaa njema wakuu,

Kuna upotoshaji mkubwa unatembea mitandaoni tangu kuhusu pesa za ujenzi wa reli ya kisasa ya Standard gauge. Upotoshaji huu umefuatia ombi la rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kumuomba rais wa Afrika ya Kusini, Jacob Zuma kuzishawishi nchi zinazounda umoja wa BRICS(Brazil-Russia-India-China-South Africa) kutokana na mikopo yao kuwa ya masharti nafuu kukubali kuipa Tanzania mkopo utakaowezesha ukamilishaji wa miradi yake ukiwemo mradi wa ujenzi wa reli ya Standard Gauge kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza.

UPOTOSHAJI unaotembea mitandaoni ni pamoja na:
1. Kwamba rais alishasema reli hiyo itajengwa kwa pesa za ndani
2. Kwamba rais amemwangukia rais Zuma baada ya kukataliwa mkopo na nchi za China, Uturuki, Morocco, Marekani na Marekani

Sote ni mashahidi na sote tunafuatilia hotuba za rais Magufuli na ukweli wa alichokisema rais ni huu.
1. Pesa za ndani zitatumika kujenga reli kwa awamu ya kwanza ambapo itaishia Morogoro, rais hajasema reli yote kutoka Dar hadi mwanza itajengwa kwa pesa za ndani. Hii maana yake ni kwamba zitahitajika pesa nje ya zile za ndani kukamilisha ujenzi huo.

2. Tanzania ilikataa mkopo kutoka China kutokana na masharti walioyatoa ya kutaka wakandarasi wa ujenzi huo watoke China na kwamba mkopo huo ni lazima upitie Benki ya EXIM ambayo ni ya china. Hakuna sehemu yoyoye ile ilipotolewa taarifa rasmi ya serikali kwamba nchi za Morocco, Uturuki, Marekani na Umoja wa Ulaya zimeombwa mkopo na kukataa.

Myatake: Upotoshaji unaosambazwa na baadhi ya watu kwenye mitandao ya kijamii ina lengo gani? Nani yuko nyuma yake? Tunapaswa kuwa wafuatiji wazuri wa mambo ya nchi ili kujiridhisha na ukweli wa mambo. Upotoshaji wa ama makusudi ama kwa sababu ya kutokuwa na uelewa mzuri wa jambo lenyewe ni hatari kwa maendeleo na ustawi wa nchi yetu.
 
IJUMAA Njema Wakuu
Kuna upotoshaji mkubwa unatembea mitandaoni tangu kuhusu pesa za ujenzi wa reli ya kisasa ya Standard gauge. Upotoshaji huu umefuatia ombi la rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kumuomba rais wa Afrika ya Kusini, Jacob Zuma kuzishawishi nchi zinazounda umoja wa BRICS(Brazil-Russia-India-China-South Africa) kutoakana na mikopo yao kuwa ya masharti nafuu kukubali kuipa tanzania mkopo utakaowezesha ukamilishaji wa miradi yake ukiwemo mradi wa ujenzi wa reli ya Standard Gauge kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza.
UPOTOSHAJI unaotembea mitandaoni ni pamoja na:
1. Kwamba rais alishasema reli hiyo itajengwa kwa pesa za ndani
2. Kwamba rais amemwangukia rais Zuma baada ya kukataliwa mkopo na nchi za China, Uturuki, Morocco, Marekani na marekani

Sote ni mashahidi na sote tunafuatilia hotuba za rais Magufuli na ukweli wa alichokisema rais ni huu.
1. Pesa za ndani zitatumika kujenga reli kwa awamu ya kwanza ambapo itaishia Morogoro, rais hajasema reli yote kutoka Dar hadi mwanza itajengwa kwa pesa za ndani. Hii maana yake ni kwamba zitahitajika pesa nje ya zile za ndani kukamilisha ujenzi huo.
2. Tanzania ilikataa mkopo kutoka china kutokana na masharti walioyatoa ya kutaka wakandarasi wa ujenzi huo watoke na china na kwamba mkopo huo ni lazima upitie Benki ya EXIM ambayo ni ya china. Hakuna sehemu yoyoye ile ilipotolewa taarifa rasmi ya serikali kwamba nchi za Morocco, Uturuki, Marekani na Umoja wa Ulaya zimeombwa mkopo na kukataa.

Myatake: Upotoshaji unaosambazwa na baadhi ya watu kwenye mitandao ya kijamii ina lengo gani? Nani yuko nyuma yake? Tunapaswa kuwa wafuatiji wazuri wa mambo ya nchi ili kujiridhisha na ukweli wa mambo. Upotoshaji wa ama makusudi ama kwa sababu ya kutokuwa na uelewa mzuri wa jambo lenyewe ni hatari kwa maendeleo na ustawi wa nchi yetu.
Huo ndiyo ukweli na umefafanua vizuri hao wanaopiga propaganda zao washindwe na walegee
 
IJUMAA Njema Wakuu
Kuna upotoshaji mkubwa unatembea mitandaoni tangu kuhusu pesa za ujenzi wa reli ya kisasa ya Standard gauge. Upotoshaji huu umefuatia ombi la rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kumuomba rais wa Afrika ya Kusini, Jacob Zuma kuzishawishi nchi zinazounda umoja wa BRICS(Brazil-Russia-India-China-South Africa) kutoakana na mikopo yao kuwa ya masharti nafuu kukubali kuipa tanzania mkopo utakaowezesha ukamilishaji wa miradi yake ukiwemo mradi wa ujenzi wa reli ya Standard Gauge kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza.
UPOTOSHAJI unaotembea mitandaoni ni pamoja na:
1. Kwamba rais alishasema reli hiyo itajengwa kwa pesa za ndani
2. Kwamba rais amemwangukia rais Zuma baada ya kukataliwa mkopo na nchi za China, Uturuki, Morocco, Marekani na marekani

Sote ni mashahidi na sote tunafuatilia hotuba za rais Magufuli na ukweli wa alichokisema rais ni huu.
1. Pesa za ndani zitatumika kujenga reli kwa awamu ya kwanza ambapo itaishia Morogoro, rais hajasema reli yote kutoka Dar hadi mwanza itajengwa kwa pesa za ndani. Hii maana yake ni kwamba zitahitajika pesa nje ya zile za ndani kukamilisha ujenzi huo.
2. Tanzania ilikataa mkopo kutoka china kutokana na masharti walioyatoa ya kutaka wakandarasi wa ujenzi huo watoke na china na kwamba mkopo huo ni lazima upitie Benki ya EXIM ambayo ni ya china. Hakuna sehemu yoyoye ile ilipotolewa taarifa rasmi ya serikali kwamba nchi za Morocco, Uturuki, Marekani na Umoja wa Ulaya zimeombwa mkopo na kukataa.

Myatake: Upotoshaji unaosambazwa na baadhi ya watu kwenye mitandao ya kijamii ina lengo gani? Nani yuko nyuma yake? Tunapaswa kuwa wafuatiji wazuri wa mambo ya nchi ili kujiridhisha na ukweli wa mambo. Upotoshaji wa ama makusudi ama kwa sababu ya kutokuwa na uelewa mzuri wa jambo lenyewe ni hatari kwa maendeleo na ustawi wa nchi yetu.
Mr OMBA OMBA wa Chato
 
IJUMAA Njema Wakuu
Kuna upotoshaji mkubwa unatembea mitandaoni tangu kuhusu pesa za ujenzi wa reli ya kisasa ya Standard gauge. Upotoshaji huu umefuatia ombi la rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kumuomba rais wa Afrika ya Kusini, Jacob Zuma kuzishawishi nchi zinazounda umoja wa BRICS(Brazil-Russia-India-China-South Africa) kutoakana na mikopo yao kuwa ya masharti nafuu kukubali kuipa tanzania mkopo utakaowezesha ukamilishaji wa miradi yake ukiwemo mradi wa ujenzi wa reli ya Standard Gauge kutoka Dar es Salaam hadi Mwanza.
UPOTOSHAJI unaotembea mitandaoni ni pamoja na:
1. Kwamba rais alishasema reli hiyo itajengwa kwa pesa za ndani
2. Kwamba rais amemwangukia rais Zuma baada ya kukataliwa mkopo na nchi za China, Uturuki, Morocco, Marekani na marekani

Sote ni mashahidi na sote tunafuatilia hotuba za rais Magufuli na ukweli wa alichokisema rais ni huu.
1. Pesa za ndani zitatumika kujenga reli kwa awamu ya kwanza ambapo itaishia Morogoro, rais hajasema reli yote kutoka Dar hadi mwanza itajengwa kwa pesa za ndani. Hii maana yake ni kwamba zitahitajika pesa nje ya zile za ndani kukamilisha ujenzi huo.
2. Tanzania ilikataa mkopo kutoka china kutokana na masharti walioyatoa ya kutaka wakandarasi wa ujenzi huo watoke china na kwamba mkopo huo ni lazima upitie Benki ya EXIM ambayo ni ya china. Hakuna sehemu yoyoye ile ilipotolewa taarifa rasmi ya serikali kwamba nchi za Morocco, Uturuki, Marekani na Umoja wa Ulaya zimeombwa mkopo na kukataa.

Myatake: Upotoshaji unaosambazwa na baadhi ya watu kwenye mitandao ya kijamii ina lengo gani? Nani yuko nyuma yake? Tunapaswa kuwa wafuatiji wazuri wa mambo ya nchi ili kujiridhisha na ukweli wa mambo. Upotoshaji wa ama makusudi ama kwa sababu ya kutokuwa na uelewa mzuri wa jambo lenyewe ni hatari kwa maendeleo na ustawi wa nchi yetu.
Kutetea kauli za mkulu inabidi ujitoe ufahamu kama ww aiseeeee
 
Ingekuwa kila tuhuma zinazotolewa kuhusu viongozi zinajibiwa haraka kama hivi,haters wasingepata nafasi ya kusambaza huo uongo na chuki kwa serikali,hivi kwa nini na bashite asingejitokeza kama hivi kujibu tuhuma zake za vyeti?
 
Ingekuwa kila tuhuma zinazotolewa kuhusu viongozi zinajibiwa haraka kama hivi,haters wasingepata nafasi ya kusambaza huo uongo na chuki kwa serikali,hivi kwa nini na bashite asingejitokeza kama hivi kujibu tuhuma zake za vyeti?
Nashite unahangaika naye wa nini wakat Mwenyekiti wako wa Chama mbali na kusemekana alifeli form four lakini hata shule yeneyewe aliyopatia hiyo sifuri haijulikani
 
Kuna watu wanatapatapa sana kuhakikisha JPM anapunguza kazi ya kuijenga Tanzania mpya lakini tayari wameshashindwa

Hali hiyo mnayoita ya uzushi inachangiwa na serekali kutokusema ukweli kwenye mambo yake mengi. Huwezi kuwalaumu wananchi kuzusha kisha ukaiacha serekali inayotoa habari nyingi zisizo na ukweli.
 
Sasa ndugu zangu Tata Madiba, bunge la katiba cybercrime na misukule wengine wa ZLumumba kwani huwa rais anaongea lugha gani hadi tushindwe kumwelewa? Alikuwa anaongea kichina siku ile? Hata kichina siku hizi kinapanda kidogo tunaweza kuokoteza mawili matatu!
Hivi Sizonje alipojishebedua na kutamba eti katika Afrika ni Tanzania pekee inaweka historia kujenga reli kwa pesa zake yenyewe ns hakuna nchi nyingine ilishawshi kufanya hiyo Afrika alimaanisha ni hicho kipisi cha kutoka Dar hadi Moro pekee? Acheni ukuda nyie. Watu tuna akili zetu. Mna kazi kumtetea huyu jamaa mpaka ifike 2020 mtakuwa mmekaukiwa na povu lote!
 
Back
Top Bottom