BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,687
- 6,428
Wakuu ukweli ni kwamba Wazawa ndio wanaopewa namba za kitambulisho cha Taifa. Kwa Watanzania wenye asili ya Asia wote wana vitambulisho vya Taifa. How come wazawa tunakuwa treated kihivi?
Watanzania wenye asili ya Asia wao wametumia njia zipi kupata vitambulisho? Je, wazawa hawawezi tumia hizo njia?
Kwanini wazawa tunaishia kupewa namba huu ni mwaka wa 3 sasa. Nilijiandikisha mwaka 2017 mwezi wa 12 mpaka sasa nina namba tu.
Tuelezwe vigezo vinavyo tumika kuwapatia Wa Asia wote vitambulisho ilihali sisi tuna pewa namba tu.
Wazazi wetu kule bushi wana namba pekee na wameitumikia hii nchi na wengine kupigana vita vya kumuondoa Iddi Amini.
Hii sio sawa kabisa
Watanzania wenye asili ya Asia wao wametumia njia zipi kupata vitambulisho? Je, wazawa hawawezi tumia hizo njia?
Kwanini wazawa tunaishia kupewa namba huu ni mwaka wa 3 sasa. Nilijiandikisha mwaka 2017 mwezi wa 12 mpaka sasa nina namba tu.
Tuelezwe vigezo vinavyo tumika kuwapatia Wa Asia wote vitambulisho ilihali sisi tuna pewa namba tu.
Wazazi wetu kule bushi wana namba pekee na wameitumikia hii nchi na wengine kupigana vita vya kumuondoa Iddi Amini.
Hii sio sawa kabisa