Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,378
- 12,571
Niende kwenye mada, sita elezea mada hii nikihusisha na story yangu binafsi ila nitaweka story ya Bondia Hassan Mwakinyo.
Kiukweli ni ngumu sana kumjua mwanaume mwenye nia njema kwa mpenzi wake na mwenye akili ya maisha, sio ngumu tu kumtambua hata kukutana nae ni nadra sana.
Jinsi ya kumpata mwanaume huyo inawezekana, ila si mada ya leo. Pengine waweza kumpata kwa bahati tu na ukawa nae, kwani naye alipata nafasi ya kuwa nawe karibu na kusema kuwa anakupenda.
MADA
Kitu kikubwa ambacho wanaume huangalia kwa Mwanamke tunapokua kwenye mahusiano ni Mwanamke kua muwazi na mkweli, hatupendi janja janja na uwongo.
Mwanamke kuwa muwazi kwa mwanaume ambae umeamchagua kua mwanaume wa ndoto zako ni muhimu sana, ongea nae mwambia yanayo kuhusu, usifikirie kua atakudharau kwa lolote, kama ataonyesha dharau basi huyo sio mtu sahihi kwako.
Mwambie hali yako ya maisha, mwambie unacho waza rohoni mwako na unachopenda maishani, mwambie ndoto zako za baadae.
Mwamini kwa kila jambo kua anaweza na kumthamini na yeye atakuthamini daima.
STORY YA MWAKINYO.
Mwakinyo alipoulizwa, wewe una mpenzi ? Alisema sina kwa sasa na kuanza kuelezea mahusiano yake yaliopita..
Sina mwanamke kwa sasa ambaye naweza sema ananipenda mimi, mwanamke niliyekuwa naye last alikuwa ananipenda kweli, tena sana. Nilikuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, kipindi hicho bado sijawa na mafanikio katika hii fani yangu.
Ilifika wakati nikaona kuliko kumchezea na siwezi kumuoa kwa sasa, bora nimuache aolewe tu na mwanaume mwingine.
Kuna mwanaume alimpata kisha akanieleza na kunionesha, alikuwa na hela ndio lakini niliona hamfai,
Basi nikamwambia achana nae subiri nitakuoa mimi.
Tukaendelea, akaja kunionesha mwanaume mwingine huyo nikaona anafaa, alikuwa na kila kitu na yuko tayari kumuoa, nikakubali aolewe nae.
Kwa sasa yuko kwenye ndoa yake na Ana watoto.
------++++end++++-----------
Hizo ni hekima za Hassan Mwakinyo.
Anakiri mwanamke huyo ndie mwanamke pekee alionesha kumpenda kwa dhati, japo hawakuweza kuwa pamoja kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake.
Kiukweli ni ngumu sana kumjua mwanaume mwenye nia njema kwa mpenzi wake na mwenye akili ya maisha, sio ngumu tu kumtambua hata kukutana nae ni nadra sana.
Jinsi ya kumpata mwanaume huyo inawezekana, ila si mada ya leo. Pengine waweza kumpata kwa bahati tu na ukawa nae, kwani naye alipata nafasi ya kuwa nawe karibu na kusema kuwa anakupenda.
MADA
Kitu kikubwa ambacho wanaume huangalia kwa Mwanamke tunapokua kwenye mahusiano ni Mwanamke kua muwazi na mkweli, hatupendi janja janja na uwongo.
Mwanamke kuwa muwazi kwa mwanaume ambae umeamchagua kua mwanaume wa ndoto zako ni muhimu sana, ongea nae mwambia yanayo kuhusu, usifikirie kua atakudharau kwa lolote, kama ataonyesha dharau basi huyo sio mtu sahihi kwako.
Mwambie hali yako ya maisha, mwambie unacho waza rohoni mwako na unachopenda maishani, mwambie ndoto zako za baadae.
Mwamini kwa kila jambo kua anaweza na kumthamini na yeye atakuthamini daima.
STORY YA MWAKINYO.
Mwakinyo alipoulizwa, wewe una mpenzi ? Alisema sina kwa sasa na kuanza kuelezea mahusiano yake yaliopita..
Sina mwanamke kwa sasa ambaye naweza sema ananipenda mimi, mwanamke niliyekuwa naye last alikuwa ananipenda kweli, tena sana. Nilikuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka mitatu, kipindi hicho bado sijawa na mafanikio katika hii fani yangu.
Ilifika wakati nikaona kuliko kumchezea na siwezi kumuoa kwa sasa, bora nimuache aolewe tu na mwanaume mwingine.
Kuna mwanaume alimpata kisha akanieleza na kunionesha, alikuwa na hela ndio lakini niliona hamfai,
Basi nikamwambia achana nae subiri nitakuoa mimi.
Tukaendelea, akaja kunionesha mwanaume mwingine huyo nikaona anafaa, alikuwa na kila kitu na yuko tayari kumuoa, nikakubali aolewe nae.
Kwa sasa yuko kwenye ndoa yake na Ana watoto.
------++++end++++-----------
Hizo ni hekima za Hassan Mwakinyo.
Anakiri mwanamke huyo ndie mwanamke pekee alionesha kumpenda kwa dhati, japo hawakuweza kuwa pamoja kwa sababu zilizo nje ya uwezo wake.