steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,092
- 1,433
TCRA walituambia tusajili laini kwa kutumia alama za vidole kwakuwa usajili huo ni imara na salama lakini matapeli wakishirikiana na wasajili line wanafanya yafuatayo.
Unaenda kusajili laini unafata taratibu zote usajili unakamilika anakuambia kuna tatizo usajili haujakamilika hivyo mrudie tena.
Wewe hujui hili wala lile unarudia tena kumbe anakusajilia laini ya pili bila wewe kujua baada ya hapo laini moja unachukua halafu moja anampa tapeli anatumia usajili wako kiuraahiiiiisi unajikuta ushatumika kufanya utapeli
Sasa ikitokea akakwambia turudie tena kusajili komaa line ya kwanza uondoke nayo na ukienda kuijaribu unakuta imekamilika usajili ndugu muwe makini.
Namna ya kuangalia namba zilizosajiliwa kwa kutumia namba ya kitambulisho chako cha Taifa(NID)
Unaenda kusajili laini unafata taratibu zote usajili unakamilika anakuambia kuna tatizo usajili haujakamilika hivyo mrudie tena.
Wewe hujui hili wala lile unarudia tena kumbe anakusajilia laini ya pili bila wewe kujua baada ya hapo laini moja unachukua halafu moja anampa tapeli anatumia usajili wako kiuraahiiiiisi unajikuta ushatumika kufanya utapeli
Sasa ikitokea akakwambia turudie tena kusajili komaa line ya kwanza uondoke nayo na ukienda kuijaribu unakuta imekamilika usajili ndugu muwe makini.
Namna ya kuangalia namba zilizosajiliwa kwa kutumia namba ya kitambulisho chako cha Taifa(NID)
Sent using Jamii Forums mobile app1) Bonyeza *106# kisha piga (bonyeza OK)
2) Chagua namba 2 = kuangalia namba zilizosajiliwa kwa yako
3) Jaza namba yako ya kitambulisho cha Taifa kisha bonyeza OK
Zitakuja namba zote ulizosajili kwa kitambulisho chako kwa mtandao husika. Mfano: Kama umetumia njia hii kwa laini ya Tigo basi utaziona namba za tigo tu zilizosajiliwa kwa namba yako na kama una namba zaidi ya mtandao mmoja utapaswa kurudia kwa kila mtandao.
Endapo kuna namba huzijui nenda ofisi za mtandao husika na tatizo lako litashughulikiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app