The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,191
- 13,614
Jerry mweupe kichwani tu kama aliyemteua iyo nafas
Jerry Muro naomba uelewe kuwa uchunguzi rasmi wa wewe kumpa Lemutuz gari la ofisi kutoka KIA hadi Safari Lodge unaendelea na pole sana kwani litakalokukuta hata wewe unalifahamu. Tatizo uelewa mdogo.
Sasa ona umefanya kosa waziwazi na linaenda kukugharimu. Pole sana kwa ujuha!
Na uliyempa gari ndiye kakupeleka shimon kutokana na utoto utoto wake. Kila kitu siyo kutafuta kiki! Any way tunasema za mwizi zimefika.
"umemu hamble na yeye akaku hamble down you know" ha! ha! ha!
Maneno huoni??Daaaaahhh,,,,,hyo si picha tu mjombaaa,,,,,yan mtu kapiga picha kaegemea gari lakn ww tayr umeshaona kama ametembelea!!??? Kama walikua wote na jerry muro??
unajua maana na hadhi ya mkuu wa wilaya zaidi ya ile ya kuwaweka watu mahabusu siku za ijumaa na sikukuu? unajua kwann wale wa jakaya walipelekwa guru doto?Unajuaje wakati hiyo picha inapigwa mheshimiwa Murro alikuwa katika eneo hilo?.
Le Mutuz na Makonda ndio walifanya mipango ili Mzee wa Pingu Jerry Murro awe DC , sasa ndio akaamua kuwakirimu gari la serikaliJerry Muro naomba uelewe kuwa uchunguzi rasmi wa wewe kumpa Lemutuz gari la ofisi kutoka KIA hadi Safari Lodge unaendelea na pole sana kwani litakalokukuta hata wewe unalifahamu. Tatizo uelewa mdogo.
Sasa ona umefanya kosa waziwazi na linaenda kukugharimu. Pole sana kwa ujuha!
Na uliyempa gari ndiye kakupeleka shimon kutokana na utoto utoto wake. Kila kitu siyo kutafuta kiki! Any way tunasema za mwizi zimefika.
"umemu hamble na yeye akaku hamble down you know" ha! ha! ha!
Waliopelekwa ngurdoto baadae wakawa wanapitisha makontena bandarini bila ya kuyalipia ushuru!.unajua maana na hadhi ya mkuu wa wilaya zaidi ya ile ya kuwaweka watu mahabusu siku za ijumaa na sikukuu? unajua kwann wale wa jakaya walipelekwa guru doto?
na makonda alienda ngurudotoWaliopelekwa ngurdoto baadae wakawa wanapitisha makontena bandarini bila ya kuyalipia ushuru!.
Huu ni utambulisho kuwa ww ni CCM. Magari ya wabunge ni ya serikali?Huu uzi umekaa kishambenga, kama zile story za instagram. Ina maana wabunge wa upinzani hawajawahi kuwakabidhi magari yao marafiki zao?.
Huu uzi umekaa kimbeyambeya, hadhi yake ni kule facebook.
Povu lote hilo ni kutokana na kupose tu?
Umesoma hiyo caption ya picha au umeamua kubisha tu...?? TUMIENI AKILI KUFIKRI... VIUNGO VINGINE VINA KAZI ZAKE..Daaaaahhh,,,,,hyo si picha tu mjombaaa,,,,,yan mtu kapiga picha kaegemea gari lakn ww tayr umeshaona kama ametembelea!!??? Kama walikua wote na jerry muro??