Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,670
- 13,150
Duh inashangaza kuona watu wasivyojitambuaTuna vifaa vya kutosha vya kupimia? Tumeshapima wangapi? Inawezekana hao 20 is not an accurate number.
Hii Corona itatuangamiza vibaya
Dunia nzima wanateseka na hii kitu watu wanakuja na majibu ya ovyo ovyo hata Pascal Mayalla huoni majirani wanatukumbusha tujitafakari tujilinde na hii kitu
Precaution is Better Than Cure