Hivi ndivyo itakavyokuwa baada ya Man City kuzuiwa kushiriki michuano ya UEFA

dexterous

JF-Expert Member
Feb 26, 2014
2,038
3,124
Kutokana na makosa waliyokutwa nayo nakupelekea kufungiwa kutoshiriki michuano ya Europe kwa kipindi cha misimu miwili, tutajarie haya kwa baadaye endapo rufaa yao ikikataliwa au kushindwa.

1. Watakaza sana kwenye game yao na Madrid na huenda ikawapa msukumo zaidi maana hii itakuwa kama ndiyo nafasi muhimu kwao kuweza kuchukua uefa.

2. Kuondoka kwa wachezaji wengi wakubwa wa Man City. Bila shaka Man City itakuwa dirisha la kuchukuwa wachezaji watakaotimkia timu kubwa na De Bruyne atakuwa mchezaji wa mvuto zaidi kugombaniwa.

3. Kuondoka kwa kocha wao Pep Guardiola 2021.

4. Huenda ikawa nafasi nzuri kwa Mourinho kupitia mlango wa nyuma kushiriki UEFA akiwa nafasi ya tano.

5. Liverpool itaendelea kuwa na nafasi kubwa kuchukua Premier League 2020/2021.

97F8E61C-2589-48DE-82F3-5848540FB4E5.jpeg
 
Liondoke tu hilo Pep, kocha libaguzi kuu la rangi(Eto'o & Toure) libinafsi kisiasa lilipolimwa adhabu 2018 na FA kwa kujihusisha kisiasa likihamasisha utengano baina ya Catalonia na Hispania.

Lijengaji CV nzuri kwa timu zilizo on fire(bora) e.g Barcelona, Buyern na Man City.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hehehe! Ongeza kashata nalipia
 
Liondoke tu hilo Pep, kocha libaguzi kuu la rangi (Eto'o & Toure) libinafsi kisiasa lilipolimwa adhabu 2018 na FA kwa kujihusisha kisiasa likihamasisha utengano baina ya Catalonia na Hispania.

Lijengaji CV nzuri kwa timu zilizo on fire (bora) e.g Barcelona, Buyern na Man City. dexterous

Wivu wa kike huu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kutokana na makosa waliyokutwa nayo nakupelekea kufungiwa kutoshiriki michuano ya Europe kwa kipindi cha misimu miwili, tutajarie haya kwa baadaye endapo rufaa yao ikikataliwa au kushindwa.

1. Watakaza sana kwenye game yao na Madrid na huenda ikawapa msukumo zaidi maana hii itakuwa kama ndiyo nafasi muhimu kwao kuweza kuchukua uefa.

2. Kuondoka kwa wachezaji wengi wakubwa wa Man City. Bila shaka Man City itakuwa dirisha la kuchukuwa wachezaji watakaotimkia timu kubwa na De Bruyne atakuwa mchezaji wa mvuto zaidi kugombaniwa.

3. Kuondoka kwa kocha wao Pep Guardiola 2021.

4. Huenda ikawa nafasi nzuri kwa Mourinho kupitia mlango wa nyuma kushiriki UEFA akiwa nafasi ya tano.

5. Liverpool itaendelea kuwa na nafasi kubwa kuchukua Premier League 2020/2021.

Hivi juve alivyoshushwa daraja wachezaji wote muhimu waliondoka?
 
Liondoke tu hilo Pep, kocha libaguzi kuu la rangi (Eto'o & Toure) libinafsi kisiasa lilipolimwa adhabu 2018 na FA kwa kujihusisha kisiasa likihamasisha utengano baina ya Catalonia na Hispania.

Lijengaji CV nzuri kwa timu zilizo on fire (bora) e.g Barcelona, Buyern na Man City. dexterous
Ni makocha wangapi wamezicoach Barcelona baada yaGuardiola? wamepata mafanikio aliyoyapata Guardiola? makocha wangapi waliipamafanikio City kabla ya Pep? huko Bayern napo kukoje baada ya Pep? Kocha mbaya hata apewe team yenye kila kitu hatoweza kuiongoza,tambua hilo,Pep amevunja record kibao na City.
 
nadhani ni muda wa pep kujifunza kutumia pesa vizuri na wala sio kusajili ovyo Kama alivyokuwa kule bundersliga
 
Huwa nabaki kimya ninapoona watu wanamponda ed wood wa man utd, utd inazidi kujiimarisha kifedha na uwezo wa kujiendesha kila kukicha, inaweza kumsajili mchezaji yeyote duniani hata timu nzima ikitaka na bado hainusi harufu ya kuvunja fffp rules, mfano iliweza kuzishinda totts, Chelsea, city kumsajili shaw, Maguire na Sanchez kwasabababu wengine walijitoa kwakuwa fffp zinaelekea kuwabana. Bayern Munich waliweka ukomo wa mshahara na bei ya kununua mchezaji ili kujilinda na fffp

Kitakachofuata city atazidi kupoteza mapato kutoka uefa na atalazimika kupunguza matumizi ili vitabu vibalance, how? Atashindwa kusajili wachezaji wa bei kubwa, apunguze wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa. Kibaya zaidi wachezaji wengi umri umeenda na hawauziki kwa bei kubwa. Naiona city ya 2008 kurudi nyuma

wanafuata ni psg, Chelsea, Valencia, Monaco, inter Milan, ac Milan, juve nae yupo mstari mwekundu, Madrid, barca wameshatumia fedha nyingi sana nao wapo njia panda.

Weka kichwani Man utd, arsenal, Bayern Munich wanarudia enzi zao watabaki peke yao kwenye soko la usajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nabaki kimya ninapoona watu wanamponda ed wood wa man utd, utd inazidi kujiimarisha kifedha na uwezo wa kujiendesha kila kukicha, inaweza kumsajili mchezaji yeyote duniani hata timu nzima ikitaka na bado hainusi harufu ya kuvunja fffp rules, mfano iliweza kuzishinda totts, Chelsea, city kumsajili shaw, Maguire na Sanchez kwasabababu wengine walijitoa kwakuwa fffp zinaelekea kuwabana. Bayern Munich waliweka ukomo wa mshahara na bei ya kununua mchezaji ili kujilinda na fffp

Kitakachofuata city atazidi kupoteza mapato kutoka uefa na atalazimika kupunguza matumizi ili vitabu vibalance, how? Atashindwa kusajili wachezaji wa bei kubwa, apunguze wachezaji wanaolipwa mishahara mikubwa. Kibaya zaidi wachezaji wengi umri umeenda na hawauziki kwa bei kubwa. Naiona city ya 2008 kurudi nyuma

wanafuata ni psg, Chelsea, Valencia, Monaco, inter Milan, ac Milan, juve nae yupo mstari mwekundu, Madrid, barca wameshatumia fedha nyingi sana nao wapo njia panda.

Weka kichwani Man utd, arsenal, Bayern Munich wanarudia enzi zao watabaki peke yao kwenye soko la usajiri

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaiongelea Madrid ipi?
 
Back
Top Bottom