Ndio maana tuko masikini. Watu wote hawa wamejikusanya na kupoteza wakati badala ya kufanya kazi. Tatizo kubwa la Watanzania wanadhani ni lazima wawe na muelekeo wa chama na kupoteza wakati wao. Ingekuwa vizuri kama 90% ya watanzania wangekua kati bila muegemeo wa chama chochote na kupiga kura zao kufuatana na sera za chama au msimamo wa mambo muhimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.