Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,005
- 173,645
Huhuhuhuhu ni nomareeHahahah... Shida ndio kama nilivosema hizo gari ukiendesha tu ilimradi inawaka na kutembea with time utalia kilio kikuu.
Tena Benz/BMW/Land Rover/Jeep/Ford zinaweza kukuvumilia.
Audi/VW japo spea ni cheap ukilinganisha na wengine ila matatizo huwa yanafululiza kama mwenye gari hajali...