Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
CCM mabingwa wa umbea na propaganda za uchochezi huanza utendaji wao kwa namna hii:
-Kwanza hujaribu kusisistiza umuhimu wa amani.
-halafu hutahadharisha watanzania na wavuja amani.
-halafu hu suggest kuwa kuna wanaopita waghai watanzania ili wawagawe kwa ukanda na udini na ukabili(Uchochezi kupitia nafsi ingine).
-Halafu CCM hujisikia kuwa wamekubalika na hivyo kujiahalalishia kushambulia hao waliosingiziwa kwa kusema haya.Serikali imejipanga kupambana nao kwa hali na mali.
-CCM humalizia pia kwa kujihalalishia kushindwa kwa na pia kutumia kushindwa kwao km fahari kwa kusema.."Kwa miaka 50 yote sisi tumeshindwa,wao ndio wataweza?CCM imefanya makubwa miaka yote hii.
-CCM hujaribu weka hisia za guiltiness..."Hadi wamefika hapo ni juhudi za CCM leo hawana shukrani"..haha wanajisema wao wenyewe walionufaika na ufisadi wa CCM,CCM ambayo haijawahi jenga office zake yenyewe.CCM haijawahi rudisha michango ya watu waliojitoa.
Kwa leo hiyo ni sehemu ya mizaha ya CCM tk nchi..ila ilaaniwe ktk umbea wakena uchochezi kupitia nafsi nyingine.CCM ni slanderers.
-Kwanza hujaribu kusisistiza umuhimu wa amani.
-halafu hutahadharisha watanzania na wavuja amani.
-halafu hu suggest kuwa kuna wanaopita waghai watanzania ili wawagawe kwa ukanda na udini na ukabili(Uchochezi kupitia nafsi ingine).
-Halafu CCM hujisikia kuwa wamekubalika na hivyo kujiahalalishia kushambulia hao waliosingiziwa kwa kusema haya.Serikali imejipanga kupambana nao kwa hali na mali.
-CCM humalizia pia kwa kujihalalishia kushindwa kwa na pia kutumia kushindwa kwao km fahari kwa kusema.."Kwa miaka 50 yote sisi tumeshindwa,wao ndio wataweza?CCM imefanya makubwa miaka yote hii.
-CCM hujaribu weka hisia za guiltiness..."Hadi wamefika hapo ni juhudi za CCM leo hawana shukrani"..haha wanajisema wao wenyewe walionufaika na ufisadi wa CCM,CCM ambayo haijawahi jenga office zake yenyewe.CCM haijawahi rudisha michango ya watu waliojitoa.
Kwa leo hiyo ni sehemu ya mizaha ya CCM tk nchi..ila ilaaniwe ktk umbea wakena uchochezi kupitia nafsi nyingine.CCM ni slanderers.