hao wote muda huu wanaisoma namba popote walipoSio hiyo tu na hii pia: View attachment 440798
Kenge huwa hasikii hadi umtandike mpaka damu zimtoke kwenye masikio ndiyo anakuwa msikivu.
Mkuu unaongelea kwa watanzania hawahawa au?Kwa hali ilivyo cjui kama wataeleweka tena hawa