Excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 19,743
- 10,073
Habari zenu wanaJF,
Mwenzenu natatizika kidogo hapa! Inaweza inaonekana kama suala la kijinga lakini ni bora tuliongee hapa!
Mimi ni kijana mtu mzima tu, umri wangu ni 23, na niko higher learning second year!
Mpaka sasa sina hata chembe ya ndevu kwenye kidevu changu compared to my fellows, nikiangalia umbo langu nilivyo mrefu, natatizika!
To some extent, ndevu zinaleta heshima kidogo!!!! Sasa mie mbona sina hata kidogo? Nimechoka kutaniwa taniwa na kuitwa mtoto!
Jamani sorry kama kuna ntakae muudhi!
Mwenzenu natatizika kidogo hapa! Inaweza inaonekana kama suala la kijinga lakini ni bora tuliongee hapa!
Mimi ni kijana mtu mzima tu, umri wangu ni 23, na niko higher learning second year!
Mpaka sasa sina hata chembe ya ndevu kwenye kidevu changu compared to my fellows, nikiangalia umbo langu nilivyo mrefu, natatizika!
To some extent, ndevu zinaleta heshima kidogo!!!! Sasa mie mbona sina hata kidogo? Nimechoka kutaniwa taniwa na kuitwa mtoto!
Jamani sorry kama kuna ntakae muudhi!