kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,840
- 17,438
Hivi kwanini Afrika nzima isitengeneze muungano wa kijeshi kufyeka huu uchafu wa ugaidi huko msumbiji,waasi wa kongo na bokoharamu?
Hawa wanatakiwa wapigwe mabomu tu yaani wachakazwe kweli kweli
Hapo Congo na Msumbiji ukianzisha uvamizi na operesheni ya angani na ardhini unamaliza huo uozo wote
Inatia hasira sana
Hawa wanatakiwa wapigwe mabomu tu yaani wachakazwe kweli kweli
Hapo Congo na Msumbiji ukianzisha uvamizi na operesheni ya angani na ardhini unamaliza huo uozo wote
Inatia hasira sana