Hivi nchi hii kuna watu wanapata maji safi na salama?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,167
12,652
Maji safi na salama ni yale yanayotoka bombani na unaweza ukayanywa na usipate shida yoyote. Haya ni maji ambayo yamechujwa, yamesafishwa na yamekuwa treated.

Unayanywa hayana chumvi wala harufu. Huhitaji kuyachemsha wala kuweka water guard. Katika pitapita zangu nchi hii sijawahi ona sehemu kuna maji ya namna hii. Ni sehemu gani nchi hii wanapata maji ya namna hiyo?
 
Maji safi na salama ni yale yanayotoka bombani na unaweza ukayanywa na usipate shida yoyote. Haya ni maji ambayo yamechujwa, yamesafishwa na yamekuwa treated.

Unayanywa hayana chumvi wala harufu. Huhitaji kuyachemsha wala kuweka water guard. Katika pitapita zangu nchi hii sijawahi ona sehemu kuna maji ya namna hii. Ni sehemu gani nchi hii wanapata maji ya namna hiyo?
Arusha unakunywa kabisa
 
Back
Top Bottom