mr_penguin
Member
- Jul 5, 2018
- 31
- 23
Habari zenu watanzania nilikua nauliza kama naweza soma masters of business administration kwa G.P.A ya 2.7 kwa mwaka wa masomo 2018/2019...kama mnafahamu tafadhari naombeni mnijuze
Habari zenu watanzania nilikua nauliza kama naweza soma masters of business administration kwa G.P.A ya 2.7 kwa mwaka wa masomo 2018/2019...kama mnafahamu tafadhari naombeni mnijuze
Huwez soma usijisumbuwe mkuu.Habari zenu watanzania nilikua nauliza kama naweza soma masters of business administration kwa G.P.A ya 2.7 kwa mwaka wa masomo 2018/2019...kama mnafahamu tafadhari naombeni mnijuze
Kama analima mwambie tu aendelee kulimaHuwez soma usijisumbuwe mkuu.
Labda ukasome Post graduet Diploma ndipo Usome Masters.
Hili linatokana na Uongoz wa Awamu hii kuweka vigezo vipya vya Udahili kwa kila ngazi ya Elimu.
E.g. ukipata G.P.A 2.7 ya DIPLOMA huwez soma Bachelor.
Ukipata G.P.A 2.7 ya Bachelor huwez Soma Masters
Nafkir nimeeleweka...
Mhhh mkuu hilo unauhakika nalo...Huwez soma usijisumbuwe mkuu.
Labda ukasome Post graduet Diploma ndipo Usome Masters.
Hili linatokana na Uongoz wa Awamu hii kuweka vigezo vipya vya Udahili kwa kila ngazi ya Elimu.
E.g. ukipata G.P.A 2.7 ya DIPLOMA huwez soma Bachelor.
Ukipata G.P.A 2.7 ya Bachelor huwez Soma Masters
Nafkir nimeeleweka...
inategemeana na chuoHabari zenu watanzania nilikua nauliza kama naweza soma masters of business administration kwa G.P.A ya 2.7 kwa mwaka wa masomo 2018/2019...kama mnafahamu tafadhari naombeni mnijuze
Asante mkuu nashukuru kwa jawabu lako lakisomiinategemeana na chuo
Shukrani mkuuNenda vyuo vya kizembe zembe kama tumaini, sauti et al utapokelewa.
Asante mkuu...vyuo vingi naona prospectus zao hawaja update ndo natafuta uhakikaMkuu kwa kukusaidia tuu ingia google tafuta prospectus za vyuo ambavyo vina hiyo course na unapendelea kuomba admission soma taarifa na sifa za kudahiliwa katika hivyo vyuo halafu utajielewa mwenyewe. ila nikukumbushe tuu kwa kiwango cha elimu ulichonacho na fursa ya utumiaji wa tech ya computer katika ulimwengu huu kuuliza masuala namna hiyo ni AIBU.
Mkuu lakini mm nilimaliza bachelor toka 2009 namuua kujiongeza kielimu niimudu vizuri kampuni yangu ya exportationHuwez soma usijisumbuwe mkuu.
Labda ukasome Post graduet Diploma ndipo Usome Masters.
Hili linatokana na Uongoz wa Awamu hii kuweka vigezo vipya vya Udahili kwa kila ngazi ya Elimu.
E.g. ukipata G.P.A 2.7 ya DIPLOMA huwez soma Bachelor.
Ukipata G.P.A 2.7 ya Bachelor huwez Soma Masters
Nafkir nimeeleweka...
Nasimamia kampuni yangu ya exportation ya mazaoKwa saiv unafanya mishe gani mkuu?
Anauza simu za kichinaKwa saiv unafanya mishe gani mkuu?
2.7 anasoma masters ya Udsm mujaarab kabisa kama degree yake kaipatia Udsm, hao wengine wa machakarabotini mpaka awe na 3.5 sijui nimeeleweka?Huwez soma usijisumbuwe mkuu.
Labda ukasome Post graduet Diploma ndipo Usome Masters.
Hili linatokana na Uongoz wa Awamu hii kuweka vigezo vipya vya Udahili kwa kila ngazi ya Elimu.
E.g. ukipata G.P.A 2.7 ya DIPLOMA huwez soma Bachelor.
Ukipata G.P.A 2.7 ya Bachelor huwez Soma Masters
Nafkir nimeeleweka...
2.7 + experience , unasoma vizuri tu udsm bila shida.Habari zenu watanzania nilikua nauliza kama naweza soma masters of business administration kwa G.P.A ya 2.7 kwa mwaka wa masomo 2018/2019...kama mnafahamu tafadhari naombeni mnijuze
Uzembe wa vyuo hivyo uko wapi?Nenda vyuo vya kizembe zembe kama tumaini, sauti et al utapokelewa.
2.7 anasoma masters ya Udsm mujaarab kabisa kama degree yake kaipatia Udsm, hao wengine wa machakarabotini mpaka awe na 3.5 sijui nimeeleweka?