Hivi naweza kutumia internet bila kuweka laini kwenye simu?

wa stendi

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
24,688
26,795
Husika na kichwa cha habari hapo juu kama uwezekano huo upo nina mpango nisisajili laini yangu niwe natumia simu tuu kwenye mambo yangu ya internet bila kuweka laini
Naomba kujuzwa kama hili linawezekana
 
Unatumiaje sasa?? Labda uuunganishe na Wifi toka kwenye simu nyingine
 
Ndio una weza kwa kutumia wifi.
Husika na kichwa cha habari hapo juu kama uwezekano huo upo nina mpango nisisajili laini yangu niwe natumia simu tuu kwenye mambo yangu ya internet bila kuweka laini
Naomba kujuzwa kama hili linawezekana
 
Internet inatoka kwa internet provider. Ili upate hio internet ni lazima uwe na source, ambayo ni chip sasa au Wi-Fi which means kwenye hio source ya Wi-Fi lazima kuwe kuna chip.

Sasa hakuna namna utapata internet bila kuwa na chip, Mkuu.

Kwa ufupi kutumia intaneti kwenye simu bila kuweka chip kwenye simu inawezekana ila intaneti bila chip kabisa ni hadithi za abunuwasi. Labda kama kuna kitu sijui, acha wataalamu waje.
 
Japo Swali Halipo Direct Sana
Mkuu inawezekana kutumia simu upande wa Internet bila kuweka laini kwenye simu.

Tumia Wi-fi Kuunganisha simu yako ambayo haina laini Kutoka kwenye chanzo ya mtu mwingine au Kifaa kingine[hotspots tethering] vinaweza kuwa simu yenye Internet au Pc iliyochomekwa modem ambayo ina acess na internet

Japo hukuwa direct kwenye Swali lako
 
Internet inatoka kwa internet provider. Ili upate hio internet ni lazima uwe na source, ambayo ni chip sasa au Wi-Fi which means kwenye hio source ya Wi-Fi lazima kuwe kuna chip.

Sasa hakuna namna utapata internet bila kuwa na chip, Mkuu.

Kwa ufupi kutumia intaneti kwenye simu bila kuweka chip kwenye simu inawezekana ila intaneti bila chip kabisa ni hadithi za abunuwasi. Labda kama kuna kitu sijui, acha wataalamu waje.
Kidogo wewe umenielewa na wewe nimekuelewa barikiwa sana
 
Japo Swali Halipo Direct Sana
Mkuu inawezekana kutumia simu upande wa Internet bila kuweka laini kwenye simu.

Tumia Wi-fi Kuunganisha simu yako ambayo haina laini Kutoka kwenye chanzo ya mtu mwingine au Kifaa kingine[hotspots tethering] vinaweza kuwa simu yenye Internet au Pc iliyochomekwa modem ambayo ina acess na internet

Japo hukuwa direct kwenye Swali lako
Nimekupata mkubwa naona baadhi ndio mmenielewa
 
Niko huko mbuchi au island mbudya


Kamanda, ukitaka utumie internet bila line haiwezekani..ila waweza tumia WI~FI kutoka kwa mtu mwingine i means akuunganishie kutoka kwake bila kuchomeka line yako kwenye simu...but mkiachana mita kama 50 mitres inakata...


Ushauri wangu..kama hutaki line ikae kwenye simu nenda tigo au mtandao wowote,wanazo wi~fi ndogo zinazotumia line sehemu yoyote unapoenda unatumia..ni kadogo sana hata mfukoni kanakaa..
 
Kuna adapter za USB kwenda Ethernet, unaweza ukanunua internet ya fibre Kisha ukachomeka kwenye simu ama ukanunua fiber na kuchomeka kwenye router Kisha ukajipa wifi.

Adapter zinauzwa 15,000 tu.
images
 
Back
Top Bottom