Hivi naweza kuendelea Degree kwa GPA 2.9?

No zamani haikua GPA yoyote ile ilikua 2.7 ndo unaruhusiwa bt hata wa chini ya hapo walikua wanaingia vyuo vikuu bt mpaka chuo ulichosoma diploma wakuombee TCU walikua wanatuma barua na mtu anakubaliwa kuendelea na masomo na Sina uhakika Kama ni vyuo vyote wanafanya hivyo na hiki kitu bado kipo
Zamani kabla ya Prof. Ndalichako hajawa Waziri wa Elimu, Diploma holder wa GPA yoyote ile alikuwa anruhusiwa kusomea ngazi ya Shahada. Baada ya Prof. Ndalichako kuwa Waziri wa Elimu akishirikiana na TCU ikawekwa cut off GPA ya 3.0. Hivyo kwa sasa hivi hawezi kupata nafasi ya Shahada kwa GPA hiyo ya 2.9. Huo ndiyo ukweli wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa elimu uliyonayo Kwann usitafute kazi na pesa halafu ukishazipata utajua kama unahitaji hiyo degree au la.

Nakuhakikishia, hakuna tofauti ya degree na diploma. Experience ya maisha na kazi ndo kila kitu. Itafute mapema. Unless ww ni mtu mzima unataka kujiendeleza. Kama sivyo pambana na hiyo hiyo diploma utakuja kunielewa mbeleni.
 
Zamani kabla ya Prof. Ndalichako hajawa Waziri wa Elimu, Diploma holder wa GPA yoyote ile alikuwa anruhusiwa kusomea ngazi ya Shahada. Baada ya Prof. Ndalichako kuwa Waziri wa Elimu akishirikiana na TCU ikawekwa cut off GPA ya 3.0. Hivyo kwa sasa hivi hawezi kupata nafasi ya Shahada kwa GPA hiyo ya 2.9. Huo ndiyo ukweli wenyewe.
Nakazia tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: mij
Kwa elimu uliyonayo Kwann usitafute kazi na pesa halafu ukishazipata utajua kama unahitaji hiyo degree au la.

Nakuhakikishia, hakuna tofauti ya degree na diploma. Experience ya maisha na kazi ndo kila kitu. Itafute mapema. Unless ww ni mtu mzima unataka kujiendeleza. Kama sivyo pambana na hiyo hiyo diploma utakuja kunielewa mbeleni.
P1 xn Mkuu,napambn ofkoz Nina garage but haijasajiliw ktk requirement za kuisajil wanatak minium requirement uwe holder wa degree ya mech au automobile days why nkafkiria kurud shule mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom