Uchaguzi 2020 Hivi nawaza ikatokea Membe akagombea kupitia CHADEMA 2020

Naona CCM mmeanza tena ramli chonganishi!! This time Tundu Antipas Lissu anatosha hata JIWE analijua hili.
Mngeongea tu na Membe maana huyo Lisu hakumaliziwa dozi kwa hiyo anasubiriwa akitua tu airport wale 'manesi' wanampokea wamalizie dozi.
 
Kwa hali halisi ilivyo, nadhani Lissu ndiye atakayekuwa mgombea wa urais kupitia tiketi ya chadema. Hiyo option ya kusaidiana ni nzuri kabisa!
Mmesahau mlichofanyiwa 2015? Alafu Tundu Lissu kugombea Urais ni kumpoteza kwenye siasa. Bora tuendelee kumsikia huko kwenye kutunga sheria.

Dr Slaa aliweza kubakia relevant hata nje ya ubunge sababu ya uzoefu wake kusimamia taasisi na mambo ya utawala,hekima na kipaji cha uongozi .

Nje ya Bunge Lissu ataishia kuwa mwanaharakati lakini si kuisimamia na kuongoza taasisi ndio maana hata kwenye Urais hatoshi. Lissu ni first class cream kwenye mambo ya sheria na uanaharakati lakini si kusimamia dola. Ukweli mchungu sana huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo fireness ya Lisu mnaipimaje wanangu!!? Hyo ndoto uliyoota mbona bado mchana, ulilala saa ngapi!!?
Yan Pamoja na Mapungfu ya Membe lakin mzee huyu anabebeka so kama Lowassa,
Ninawaza kwamba mfano Membe akaamua kwamba nahamia CHADEMA tu ni mshtuko mkubwa ndani ya CCM na inaweza ikasababisha mkulu kuchanganyikiwa zaidi,

Hii ni kwasababu, Membe Ana watu muhimu wa strategies siyo kama alivyokuwa LOWASSA mwenye wafuasi,

Naona MEMBE anaweza kuwa karata dume kwa CHADEMA 2020 kama akiamua kufikiria ishu hii,

FAIDA ZA MEMBE NDANI YA CHADEMA ENDAPO AKIENDA
1.Membe ni rahisi kunadika kuliko alivyokuwa LOWASSA, maana haitakuwa na kigugumizi.cha kumnadi, na pamoja na kwamba si msafi ila hajachafuliwa zaid kama alivyokuwa amechafuliwa Lowassa na image yake so mbaya kwa jamii kama alivyokuwa LOWASSA

2.Timu inayomzunguka Membe ni ya mipango mikakati zaidi, mbaya zaid hata hatujui ni to my iliyosheheni kina nani na nani zaid, tunajua wa juu juu, Lakin Lowassa ye alikuwa na Wafuasi tu na mashabiki wa mitandao ambao wasingeweza kuleta madhara sana ndani na nje ya CCM,

3.Energy ya Membe ya kujinadi na kupangilia Point kwa mawazo yangu naona anazid sana level a LOWASSA

4.Membe amekaa kimya kidogo na kuwatuliza wafuasi kama vile hataki urais , hajawa na mbwembwe sana kama LOWASSA alipokuwa anataka urais,

5.Membe ataikuta CHADEMA ambayo imeshajitambua kuliko Ile CHADEMA ya Viroba,

6.Membe kajiimarisha zaid nje ya Tanzania hasa kipindi hiki ambacho Tanzania inamulikwa mulikwa kwa kubanana kidemokrasia,
Lowassa wafuasi walikuwa akina Bashe na Msaga sumu,

7.Membe kisaikolojia amesharelax ahamaki sana na urais hata asipopata yuko tiyari kusaidiana na atakayepeperusha bendera kupitia CHADEMA, lakin LOWASSA ye aliamini kwamba lazima awe yeye na si mwingine,

Membe anaweza kuwa asset kwa CHADEMA

Nawaza tu,

Wengi wataipuuzia hii kwa sababu Lissu yuko Fire, na si lazima Membe akiwa CHADEMA agombee, anaweza saidiana na Lissu

HAYA NI MAWAZO YANGU HURU WALA SO TETESI AU SIJAAMBIWA NA MTU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifikiri kama nitapiga kura nipoteze muda. Hata upinzani ushinde watachukua kibabe majimbo na nchi. Bora nikahangaike kwenye kutafuta chochote


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yan Pamoja na Mapungfu ya Membe lakin mzee huyu anabebeka so kama Lowassa,
Ninawaza kwamba mfano Membe akaamua kwamba nahamia CHADEMA tu ni mshtuko mkubwa ndani ya CCM na inaweza ikasababisha mkulu kuchanganyikiwa zaidi,

Hii ni kwasababu, Membe Ana watu muhimu wa strategies siyo kama alivyokuwa LOWASSA mwenye wafuasi,

Naona MEMBE anaweza kuwa karata dume kwa CHADEMA 2020 kama akiamua kufikiria ishu hii,

FAIDA ZA MEMBE NDANI YA CHADEMA ENDAPO AKIENDA
1.Membe ni rahisi kunadika kuliko alivyokuwa LOWASSA, maana haitakuwa na kigugumizi.cha kumnadi, na pamoja na kwamba si msafi ila hajachafuliwa zaid kama alivyokuwa amechafuliwa Lowassa na image yake so mbaya kwa jamii kama alivyokuwa LOWASSA

2.Timu inayomzunguka Membe ni ya mipango mikakati zaidi, mbaya zaid hata hatujui ni to my iliyosheheni kina nani na nani zaid, tunajua wa juu juu, Lakin Lowassa ye alikuwa na Wafuasi tu na mashabiki wa mitandao ambao wasingeweza kuleta madhara sana ndani na nje ya CCM,

3.Energy ya Membe ya kujinadi na kupangilia Point kwa mawazo yangu naona anazid sana level a LOWASSA

4.Membe amekaa kimya kidogo na kuwatuliza wafuasi kama vile hataki urais , hajawa na mbwembwe sana kama LOWASSA alipokuwa anataka urais,

5.Membe ataikuta CHADEMA ambayo imeshajitambua kuliko Ile CHADEMA ya Viroba,

6.Membe kajiimarisha zaid nje ya Tanzania hasa kipindi hiki ambacho Tanzania inamulikwa mulikwa kwa kubanana kidemokrasia,
Lowassa wafuasi walikuwa akina Bashe na Msaga sumu,

7.Membe kisaikolojia amesharelax ahamaki sana na urais hata asipopata yuko tiyari kusaidiana na atakayepeperusha bendera kupitia CHADEMA, lakin LOWASSA ye aliamini kwamba lazima awe yeye na si mwingine,

Membe anaweza kuwa asset kwa CHADEMA

Nawaza tu,

Wengi wataipuuzia hii kwa sababu Lissu yuko Fire, na si lazima Membe akiwa CHADEMA agombee, anaweza saidiana na Lissu

HAYA NI MAWAZO YANGU HURU WALA SO TETESI AU SIJAAMBIWA NA MTU
Uchaguzi wa Urais 2020 utakuwa mwepesi sana kwa Magu. Hata sijui Chadema itafanya vipi kampeni wakati ina ukwasa hivi.
 
Yan Pamoja na Mapungfu ya Membe lakin mzee huyu anabebeka so kama Lowassa,
Ninawaza kwamba mfano Membe akaamua kwamba nahamia CHADEMA tu ni mshtuko mkubwa ndani ya CCM na inaweza ikasababisha mkulu kuchanganyikiwa zaidi,

Hii ni kwasababu, Membe Ana watu muhimu wa strategies siyo kama alivyokuwa LOWASSA mwenye wafuasi,

Naona MEMBE anaweza kuwa karata dume kwa CHADEMA 2020 kama akiamua kufikiria ishu hii,

FAIDA ZA MEMBE NDANI YA CHADEMA ENDAPO AKIENDA
1.Membe ni rahisi kunadika kuliko alivyokuwa LOWASSA, maana haitakuwa na kigugumizi.cha kumnadi, na pamoja na kwamba si msafi ila hajachafuliwa zaid kama alivyokuwa amechafuliwa Lowassa na image yake so mbaya kwa jamii kama alivyokuwa LOWASSA

2.Timu inayomzunguka Membe ni ya mipango mikakati zaidi, mbaya zaid hata hatujui ni to my iliyosheheni kina nani na nani zaid, tunajua wa juu juu, Lakin Lowassa ye alikuwa na Wafuasi tu na mashabiki wa mitandao ambao wasingeweza kuleta madhara sana ndani na nje ya CCM,

3.Energy ya Membe ya kujinadi na kupangilia Point kwa mawazo yangu naona anazid sana level a LOWASSA

4.Membe amekaa kimya kidogo na kuwatuliza wafuasi kama vile hataki urais , hajawa na mbwembwe sana kama LOWASSA alipokuwa anataka urais,

5.Membe ataikuta CHADEMA ambayo imeshajitambua kuliko Ile CHADEMA ya Viroba,

6.Membe kajiimarisha zaid nje ya Tanzania hasa kipindi hiki ambacho Tanzania inamulikwa mulikwa kwa kubanana kidemokrasia,
Lowassa wafuasi walikuwa akina Bashe na Msaga sumu,

7.Membe kisaikolojia amesharelax ahamaki sana na urais hata asipopata yuko tiyari kusaidiana na atakayepeperusha bendera kupitia CHADEMA, lakin LOWASSA ye aliamini kwamba lazima awe yeye na si mwingine,

Membe anaweza kuwa asset kwa CHADEMA

Nawaza tu,

Wengi wataipuuzia hii kwa sababu Lissu yuko Fire, na si lazima Membe akiwa CHADEMA agombee, anaweza saidiana na Lissu

HAYA NI MAWAZO YANGU HURU WALA SO TETESI AU SIJAAMBIWA NA MTU
Huyo membe sijui mae.mbe hatumtaki, bakini nae huko huko Fisiem , CDM wanao watu wa kuwawakilisha

Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Yan Pamoja na Mapungfu ya Membe lakin mzee huyu anabebeka so kama Lowassa,
Ninawaza kwamba mfano Membe akaamua kwamba nahamia CHADEMA tu ni mshtuko mkubwa ndani ya CCM na inaweza ikasababisha mkulu kuchanganyikiwa zaidi,

Hii ni kwasababu, Membe Ana watu muhimu wa strategies siyo kama alivyokuwa LOWASSA mwenye wafuasi,

Naona MEMBE anaweza kuwa karata dume kwa CHADEMA 2020 kama akiamua kufikiria ishu hii,

FAIDA ZA MEMBE NDANI YA CHADEMA ENDAPO AKIENDA
1.Membe ni rahisi kunadika kuliko alivyokuwa LOWASSA, maana haitakuwa na kigugumizi.cha kumnadi, na pamoja na kwamba si msafi ila hajachafuliwa zaid kama alivyokuwa amechafuliwa Lowassa na image yake so mbaya kwa jamii kama alivyokuwa LOWASSA

2.Timu inayomzunguka Membe ni ya mipango mikakati zaidi, mbaya zaid hata hatujui ni to my iliyosheheni kina nani na nani zaid, tunajua wa juu juu, Lakin Lowassa ye alikuwa na Wafuasi tu na mashabiki wa mitandao ambao wasingeweza kuleta madhara sana ndani na nje ya CCM,

3.Energy ya Membe ya kujinadi na kupangilia Point kwa mawazo yangu naona anazid sana level a LOWASSA

4.Membe amekaa kimya kidogo na kuwatuliza wafuasi kama vile hataki urais , hajawa na mbwembwe sana kama LOWASSA alipokuwa anataka urais,

5.Membe ataikuta CHADEMA ambayo imeshajitambua kuliko Ile CHADEMA ya Viroba,

6.Membe kajiimarisha zaid nje ya Tanzania hasa kipindi hiki ambacho Tanzania inamulikwa mulikwa kwa kubanana kidemokrasia,
Lowassa wafuasi walikuwa akina Bashe na Msaga sumu,

7.Membe kisaikolojia amesharelax ahamaki sana na urais hata asipopata yuko tiyari kusaidiana na atakayepeperusha bendera kupitia CHADEMA, lakin LOWASSA ye aliamini kwamba lazima awe yeye na si mwingine,

Membe anaweza kuwa asset kwa CHADEMA

Nawaza tu,

Wengi wataipuuzia hii kwa sababu Lissu yuko Fire, na si lazima Membe akiwa CHADEMA agombee, anaweza saidiana na Lissu

HAYA NI MAWAZO YANGU HURU WALA SO TETESI AU SIJAAMBIWA NA MTU

MEMBE HAWEZI KWENDA KUGOMBEA CHADEMA.

HANA SABABU YA KUFANYA HIVYO NA HANA NIA YA KUFANYA HIVYO.

ILA ISHIRINI ISHIRINI ATAGOMBEA KUPITIA CCM BAADA YA ONE TERM PRESDENTIAL YA JIWE.

MEMBE BADO ANA PROFILE NZURI SANA KARIKA WANA CCM.

HIVYO ACHA KUMWAZIA HAYO.

JIANDAE KISAIKOLOJIA KUMUONA MBOBEZI MEMBE MZEE WA RONDO CHIPONDA AKICHUKUA FORM .

TUNA IMANI NA BENARD MEMBE......🎼🎼🎼 OYE OYEE,MEMBE OYEE 🎻🎵🎶

STAY TUNED
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom