Sina Nia mbaya wala kubeza ila nauliza serious. Labda ana makampuni au mashamba au hata kabiashara kadogo kakumuweka busy ukiondoa shughuli za Ubunge. Maana naamini mtaji atakuwa nao . Mwisho nashauri hata wabunge wengine wawe na miradi yao hata kama ni midogo itakayowaweka busy pindi watakapokuwa nje ya siasa. Wasitegemee sana siasa. Asanteni