Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Nimeomba msaada wenu au hata Nape mwenyewe anisaidie.Wao wanasema wako bize kuwaletea watanzania maendeleo na kitu chema husimamiwa .
Nape na vyeo 2 hakukataa kwamba atazidiwa hapana amekubali na tangia amekuwa Mwenezi sijui na vitu gani wa CCM namsikia mitaani na kurudha maneno ya kibaguzi akiwatukana wachaga na Wilaya yake iko tupu.Je na mishahara pia analipwa 2 ?
Maana kwenye Chama na Serikalini ?
Lini atafanya kazi Ukuu wa Wilaya ?
Je amesha wahi kufika huko na hata wakamuona na kumjua kwamba wana mkuu wa Wilaya Kilaza ?
Nape na vyeo 2 hakukataa kwamba atazidiwa hapana amekubali na tangia amekuwa Mwenezi sijui na vitu gani wa CCM namsikia mitaani na kurudha maneno ya kibaguzi akiwatukana wachaga na Wilaya yake iko tupu.Je na mishahara pia analipwa 2 ?
Maana kwenye Chama na Serikalini ?
Lini atafanya kazi Ukuu wa Wilaya ?
Je amesha wahi kufika huko na hata wakamuona na kumjua kwamba wana mkuu wa Wilaya Kilaza ?