macson3
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 1,134
- 1,230
Harafu akaonekana amevaa Kanga,sijui walimfanyaje mpaka akapewa Kanga bilionea wa watani(Simba).Wanasahau awamu ya tano ndio awamu pekee iliyolitia aibu taifa duniani..yaani bilionea anatekwa kirahisi