cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,322
Na huwa tunauliza vile we care about you tupike mpendacho ukiona huulizwi kakuchukulia poa Bora liendeWife zamani akiniiuliza nilikuwa namjibu pika chochote,, nilivoona anaendelea siku moja nikamwambia pika mchemsho, akatabasam akasepa,, alivorudia siku nyingine nikamwambia pika nyama choma na ugali.
Siku hizi haniulizi tena.