Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,342
- 6,466
Siku zinavyosonga mbele ndivyo ugumu wa maisha unaongezeka; mfano mfumuko wa bei umekuwa ukishika kasi kama vile moto kwenye mbuga yenye majani makavu. Kwa sasa mfumuko wa bei ni karibu asilimia 25 (National Bureau of Statistics Tanzania - NBS). Miaka ya 80s mfumuko wa bei ulifikia karibu 30% kwa sababu ya IMF and WB conditions and internal factors especially drought and nincomp**p top government leadership. Mara nyingi nchi zinazowekewa economic sanctions kama Iran ndio zinakuwa na hali mbaya kama ya Tanzania kwa sasa, nani ametuwekea vikwazo vya uchumi Tanzania katika kipindi hiki? Je, ni international community? National community? Mafisadi? Ujinga wa wananchi? current top government leadership?
Je, nini kifanyike kupunguza huu mfumuko wa bei bila kuuza nchi?
Je, nini kifanyike kupunguza huu mfumuko wa bei bila kuuza nchi?