kidambinya
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 1,176
- 1,712
Hayajakukuta ndio maana unamuamini bimkubwa, Akifa pesa zinakuwa za urithi, pia ni udhaifu sana huo.
Hukuumbwa mwanaume kwa bahati mbaya, Jiamini na uwe na maamuzi yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hukuumbwa mwanaume kwa bahati mbaya, Jiamini na uwe na maamuzi yako.
Sent using Jamii Forums mobile app