Hivi nani competent kati ya Tundu Lissu Vs Peter Kibatala?

Mimi ni wakili nimepata fursa ya kufuatilia hawa mawakili wawili kwa karibu sana. Ninachoweza kusema ni kwamba kumlinganisha Tundu Lissu na Peter Kibatala ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu, Lissu ni mlima na Kibatala ni kichuguu. Kibatala is very ordinary lawyer sema tu anajua kujitangaza vizuri sana (good marketing strategies). Kwa wale waliokuwepo mahakama kuu mbele ya majaji 3 kwenye kesi ya Mitaa 200 mwaka 2015 mliona siku jinsi naibu mwanasheria mkuu wa wakati huo Dr. Tulia Akson Mwansasu alivyomtoa jasho Kibatala ambaye alipoteza network kabisa hakawa kama vile hakujiandaa kabisa wakati Dr. Tulia sio legal practitioner bali ni academician lakini alimdhibiti Kibatala kikamilifu. Kibata alishindwa kesi ya Mita 200, Lissu hajawahi kushindwa kesi yoyote ambayo serikali ni mshitaki au mshitakiwa, kila mtu anajua jinsi Lissu alivyoigalagaza Serikali mahakamani kwenye kesi ya ugaidi dhidi ya Lwakatare na Ludovick Rwezaura au kwenye kesi ya uchaguzi ya Lema katika mahakama ya rufaa. Pia kesi Wasira dhidi ya Esther Bulaya kila mtu aliona jinsi Lissu alivyomfanyia kitu kibaya Wasira, Lissu kampiga Wasira mahakama kuu mara mbili na kampiga tena mahakama ya rufaa mpaka Wasira akaamua kustaafu siasa. Tundu Lissu hiyo ni habari nyingine, inaweza kuichukua nchi hii miaka 200 kupata mwanasheria bora kama Lissu. Unaposema top class lawyers wa Tanzania utawataja mawakili kama Lissu, Prof. Kabudi, Prof. Luoga, Magafu, Dr. Kilangi, Masumbuko Lamwai, Dr. Tenga na wengine wachache lakini sio bwana mdogo Peter Kibatala.

Kuna vitu sitaki kuongea kuhusu udhaifu wa Kibatala kwenye tasnia ya sheria maana staki nimvunjie heshima yake.
Very good objective analysis....

Mkuu Hata mimi nilishangaa sana mtu kama Tulia Ackson kushinda ile case ya mita 200...

Kibatala kapoteza kesi nyingi sana mfano ile ya Sugu Mbeya akapigwa miezi 5, kuna ile ya Lulu akapigwa miaka 2.......
 
Hawa ni wanasheria nguli wote wanatetea upinzani,

Mi nawapima wanasheria kwa kuangalia yafuatayo
1.Idadi ya kesi alizoshinda
2.Idadi ya maamuzi Tata ya utafasiri wa sheria ambayo kayatatua yakawa mwongozo kwa wengine,
3.Idadi ya wateja reputable aliwatetea kwa crucial cases na kawashinda
4.idadi ya complicated cases ambazo amelegeza kwa kupangua vifungu mpaka zikawa za kawaida

Je kati ya hao wawili nani mkali sana?

Britannica
Data zao sina ila nakuunga mkono kwenye namba 2 na namba 4...Japo impact yake ni moja tu ana create Landmark cases kupitia akili aliyojaaliwa....na kusababisha hata new rules kutengenezwa.
Idadi ya kesi na Idadi ya wateja kuna challenge nyingi mfano Rushwa huwezi jua network ya Lawyer kushinda kesi nyingi...
 
Hawa ni wanasheria nguli wote wanatetea upinzani,

Mi nawapima wanasheria kwa kuangalia yafuatayo
1.Idadi ya kesi alizoshinda
2.Idadi ya maamuzi Tata ya utafasiri wa sheria ambayo kayatatua yakawa mwongozo kwa wengine,
3.Idadi ya wateja reputable aliwatetea kwa crucial cases na kawashinda
4.idadi ya complicated cases ambazo amelegeza kwa kupangua vifungu mpaka zikawa za kawaida

Je kati ya hao wawili nani mkali sana?

Britannica
Wanasheria wamegawanyika kuna mawakili, kuna mahakimu, kuna waendesha mashitaka, kuna watafiti, kuna intellectuals, kuna wahadhiri nk nk Kipimo chako ni cha mawakili siyo wanasheria kiujumla. Wakili anaweza asishinde kesi kwa sababu nyingi maana kesi siyo mbio au mpira, na waamuzi ni binadamu siyo malaika, Mandela alishindwa kesi miaka ya 1960 pamoja na kutoa hoja kali ila sheria iliyomfunga ikaja kuonekana haifai kabisaaaaa baada ya miaka 30 na ikafutwa
 
Hawa ni wanasheria nguli wote wanatetea upinzani,

Mi nawapima wanasheria kwa kuangalia yafuatayo
1.Idadi ya kesi alizoshinda
2.Idadi ya maamuzi Tata ya utafasiri wa sheria ambayo kayatatua yakawa mwongozo kwa wengine,
3.Idadi ya wateja reputable aliwatetea kwa crucial cases na kawashinda
4.idadi ya complicated cases ambazo amelegeza kwa kupangua vifungu mpaka zikawa za kawaida

Je kati ya hao wawili nani mkali sana?

Britannica
Inategemea na eneo alilobobea, kujihusisha katika mashauri, sheria ya vitendo, n.k

Hii ni sawa na kuuliza kati ya baba yangu na baba yako nani baba mzuri?
 
Tundu yupo mbali sana tena mno Kibatala anauliza maswali ya hovyo hovyo tu mahakamani kesi anashindwa kila kukicha yaani hata hii ya sasa hatoboi na objection zake zisizo na mashiko.
 
Tuangalie rekodi zao za shuleni kuna mmoja alisoma vipaji maalum Ilboru huyo mwengine sijui....lakini ni ngumu kuwapima hawa jamaa sababu ni ma competent haswaaa.
 
Back
Top Bottom