Hivi nani alianzisha wazo la kuamini watu badala ya taasisi huko CCM?

mtunzasiri

JF-Expert Member
Dec 24, 2012
1,446
985
Naomba kujuzwa na vindaki ndaki wa CCM ama yeyote mwenye kujua kadhia hii, Nani hasa alianzisha wazo la CCM kuacha kuamini katika taasisi badala yake inaamini katika watu?

Maana hili si jambo dogo kumbukeni hata waasisi wa taifa letu walikuwa wakisisitiza tasisi imara na sio watu imara, hata baba wa taifa Mwl Nyerere marehemu aliwahi kusema kwenye hotuba zake kuwa ni nani mwenye mfuko mkubwa kuweza wa kuweza kuiweka serikali yote mfukoni mwake? Yote ilikuwa ni kuonyesha hakuna mtu imara kuliko taasisi yeyote.

Sasa tunaona tangu uchaguzi 2015 kuna watu muhimu kuliko taasisi za vyama vyao, mpaka kina Lipumba wanaonekana muhimu kuliko taasisi nzima ya CUF iliyokuwepo kabla yao hii haiingii akilini tunawekaje rehani taasisi nzima kwa mtu mmoja???
Tujadiliane........ Tusije iweka rehani Nchi nzima kwa mtu mmoja tutaangamia.

Mzee mzima haishiwi maneno
 
Huyo mwl wako ndiyo alituachia mfumo(katiba) na sheria mbovu kupita kiasi.
Lakini hakutuachia tabia za kuamini watu badala ya taasisi pili nipe jibu nani alikuja na hilo wazo au mzee wa mihogo?

mzee mzima haishiwi maneno
 
Naomba kujuzwa na vindaki ndaki wa ccm ama yeyote mwenye kujua kadhia hii, Nani has a alianzisha wazo la ccm kuacha kuamini katika taasisi badala yake inaamini katika watu?
Maana hili si jambo dogo kumbukeni hata waasisi wa taifa letu walikuwa wakisisitiza tasisi imara na sio watu imara, hata baba wa taifa Mwl Nyerere marehemu aliwahi kusema kwenye hotuba zake kuwa ni nani mwenye mfuko mkubwa kuweza wa kuweza kuiweka serikali yote mfukoni mwake? Yote ilikuwa ni kuonyesha hakuna mtu imara kuliko taasisi yeyote.

Sasa tunaona tangu uchaguzi 2015 kuna watu muhimu kuliko taasisi za vyama vyao, mpaka kina Lipumba wanaonekana muhimu kuliko taasisi nzima ya cuf iliyokuwepo kabla yao hii haiingii akilini tunawekaje rehani taasisi nzima kwa mtu mmoja???
Tujadiliane........ Tusije iweka rehani Nchi nzima kwa mtuu mmoja tutaangamia.

mzee mzima haishiwi maneno


Jiulize ni nani alianza kuimbiwa kwa salamu zisemazo "Zidumu fikra za Mwneyekiti wa CCM".
 
SubiriJibu nasubiria jibu la swali lako....ni nani akiyeanzisha fikra ya zidumu fikra za mwenyekiti....!?
 
Naomba kujuzwa na vindaki ndaki wa ccm ama yeyote mwenye kujua kadhia hii, Nani has a alianzisha wazo la ccm kuacha kuamini katika taasisi badala yake inaamini katika watu?
Maana hili si jambo dogo kumbukeni hata waasisi wa taifa letu walikuwa wakisisitiza tasisi imara na sio watu imara, hata baba wa taifa Mwl Nyerere marehemu aliwahi kusema kwenye hotuba zake kuwa ni nani mwenye mfuko mkubwa kuweza wa kuweza kuiweka serikali yote mfukoni mwake? Yote ilikuwa ni kuonyesha hakuna mtu imara kuliko taasisi yeyote.

Sasa tunaona tangu uchaguzi 2015 kuna watu muhimu kuliko taasisi za vyama vyao, mpaka kina Lipumba wanaonekana muhimu kuliko taasisi nzima ya cuf iliyokuwepo kabla yao hii haiingii akilini tunawekaje rehani taasisi nzima kwa mtu mmoja???
Tujadiliane........ Tusije iweka rehani Nchi nzima kwa mtuu mmoja tutaangamia.

mzee mzima haishiwi maneno
Aliyeyaleta haya yooooooooote ni LOWASA , watu waliipenda sisiemu kweli kweli, baadae yeye na serikali yake ya ccm wakaanza kuwafanyia watu umafia kwa kivuli cha ccm

Hapo ndipo umuhimu wa vyama vya upinzani ukaingia nakumbuka hasa ilikuwa chama oendwa wakati huo CHADEMA kwa kutaja uozo wa ccm na kupitia viongozi wake wakiongozwa na LOWASA kama alivyotajwa sana na tipoti ya chadema kama fisadi papa nchini. Hapa ndipo kwanza watu wakawaka uasira na chama hiki wengi wakaingia kwenye chama pendwa huku wakilaaani vikali ccm.


Sasa kumbr ndani ya ccm kulikuwa na baadhi angalau wanauadilifu hapo watu wakaanza kumfuatilia mtu mmoja mmoja na sio chama tenaaaa

Hata kwenye kampeni za mwaka 2015 mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho alilikana sana neno ccm akikumbuka jinsi LOWASA na timu yake walipoifikisha,
Alidiriki kuomba kura kwa msemo huu
(Serikali yangu)
Nadhani unakumbuka vizuri
Kwa kuwa watu walisikia na kumfuatilia japo yeye ni angalau watu wakamwamini yeye na sio ccm tena

Mbaya zaidi yule aliyeiua ccm na mpaka leo iko rehani, huyohuyo yuko chadema na kikosi chake

Fuatilia misimamo ya chadema kabla ya kuja kwa huyu jamaa na baada ya kuja kwa huyu jamaa hapa utagundua kitu.

Na mpaka leo ni chama pekee ambacho kilishampata mgombea wa uraisi mwaka 2020 , hapo utamjua kuwa huyu jamaa ni hatari sana
 
Eti serikali ya mizizi iyojichimbia zaidi...amesahau kama alijaza form kupitia chama cha kijani huyu wa ajabu sana huyu

Sasa hivi tunahitaji

1. Katiba mpya ya warioba

2. Tume huru ya uchaguzi

3. Uhuru wa kuhoji mahakamani ushindi usiolidhisha wa rais

UTAIFA KWANZA.....katiba mpya msingi wa usawa, haki na umoja

Uzalendo, kwanza dai katiba mpya ya warioba
 
Aliyeyaleta haya yooooooooote ni LOWASA , watu waliipenda sisiemu kweli kweli, baadae yeye na serikali yake ya ccm wakaanza kuwafanyia watu umafia kwa kivuli cha ccm

Hapo ndipo umuhimu wa vyama vya upinzani ukaingia nakumbuka hasa ilikuwa chama oendwa wakati huo CHADEMA kwa kutaja uozo wa ccm na kupitia viongozi wake wakiongozwa na LOWASA kama alivyotajwa sana na tipoti ya chadema kama fisadi papa nchini. Hapa ndipo kwanza watu wakawaka uasira na chama hiki wengi wakaingia kwenye chama pendwa huku wakilaaani vikali ccm.


Sasa kumbr ndani ya ccm kulikuwa na baadhi angalau wanauadilifu hapo watu wakaanza kumfuatilia mtu mmoja mmoja na sio chama tenaaaa

Hata kwenye kampeni za mwaka 2015 mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho alilikana sana neno ccm akikumbuka jinsi LOWASA na timu yake walipoifikisha,
Alidiriki kuomba kura kwa msemo huu
(Serikali yangu)
Nadhani unakumbuka vizuri
Kwa kuwa watu walisikia na kumfuatilia japo yeye ni angalau watu wakamwamini yeye na sio ccm tena

Mbaya zaidi yule aliyeiua ccm na mpaka leo iko rehani, huyohuyo yuko chadema na kikosi chake

Fuatilia misimamo ya chadema kabla ya kuja kwa huyu jamaa na baada ya kuja kwa huyu jamaa hapa utagundua kitu.

Na mpaka leo ni chama pekee ambacho kilishampata mgombea wa uraisi mwaka 2020 , hapo utamjua kuwa huyu jamaa ni hatari sana
Kwahiyo unataka kusema lowassa ndie alikuwa anawapangia jinsi ya kupiga kampeni ndani ya ccm wakati yeye akiwa chadema? Au

mzee mzima haishiwi maneno
 
Na sitoshangaa ccm kufa kifo cha mende maana huwezi kuweka imani kwa mtu akategemea kitu, mtegemea cha mtu hufa masikini

mzee mzima haishiwi maneno

CCM isingekuwa taasisi Lowasa angepitishwa na CCM kuwa mgombea uraisi wa CCM na Angekuw Raisi Kwa kuwa Kama individual alikuwa na nguvu kuliko individual yeyote Ndani ya CCM lakini kwa kuwa taasisi Ya CCM na individual ni tofauti akabwagwa kiulaini tu akakurupuka mbio chadema wanakoamini mtu kuliko taasisi.

Mbowe akasema Lowasa ndio mgombea asiyetaka ahame chadema waabudu mtu chadema wakapiga makofi biashara ikaishia hapo
 
CCM isingekuwa taasisi Lowasa angepitishwa na CCM kuwa mgombea uraisi wa CCM na Angekuw Raisi Kwa kuwa Kama individual alikuwa na nguvu kuliko individual yeyote Ndani ya CCM lakini kwa kuwa taasisi Ya CCM na individual ni tofauti akabwagwa kiulaini tu akakurupuka mbio chadema wanakoamini mtu kuliko taasisi. Mbowe akasema Lowasa ndio mgombea asiyetaka ahame chadema waabudu mtu chadema wakapiga makofi biashara ikaishia hapo
Taasisi inayoogopa kujitangaza na kujipapanua yenyewe na badala yake inatanguliza mtu imeanzia wapi hiyo mikakati?? Au huoni kuwa ndiyo imesababisha udikiteta uchwara?

mzee mzima haishiwi maneno
 
Aliyeyaleta haya yooooooooote ni LOWASA , watu waliipenda sisiemu kweli kweli, baadae yeye na serikali yake ya ccm wakaanza kuwafanyia watu umafia kwa kivuli cha ccm

Hapo ndipo umuhimu wa vyama vya upinzani ukaingia nakumbuka hasa ilikuwa chama oendwa wakati huo CHADEMA kwa kutaja uozo wa ccm na kupitia viongozi wake wakiongozwa na LOWASA kama alivyotajwa sana na tipoti ya chadema kama fisadi papa nchini. Hapa ndipo kwanza watu wakawaka uasira na chama hiki wengi wakaingia kwenye chama pendwa huku wakilaaani vikali ccm.


Sasa kumbr ndani ya ccm kulikuwa na baadhi angalau wanauadilifu hapo watu wakaanza kumfuatilia mtu mmoja mmoja na sio chama tenaaaa

Hata kwenye kampeni za mwaka 2015 mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho alilikana sana neno ccm akikumbuka jinsi LOWASA na timu yake walipoifikisha,
Alidiriki kuomba kura kwa msemo huu
(Serikali yangu)
Nadhani unakumbuka vizuri
Kwa kuwa watu walisikia na kumfuatilia japo yeye ni angalau watu wakamwamini yeye na sio ccm tena

Mbaya zaidi yule aliyeiua ccm na mpaka leo iko rehani, huyohuyo yuko chadema na kikosi chake

Fuatilia misimamo ya chadema kabla ya kuja kwa huyu jamaa na baada ya kuja kwa huyu jamaa hapa utagundua kitu.

Na mpaka leo ni chama pekee ambacho kilishampata mgombea wa uraisi mwaka 2020 , hapo utamjua kuwa huyu jamaa ni hatari sana
Lowassa angekuwa na nguvu kuliko CCM kama ulivyodai, basi wasingeweza kumkata!!!!!
 
Back
Top Bottom