srinavas
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,023
- 3,582
Hesabu lake liko hivi:
Kuna digits 10 tu yaani 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9
Namba za siri kwenye vocha zipo 14
Ukianza kubahatisha, uwezekano wa bahatisho la kwanza kuwa sahihi (kwa mfano kama namber sahihi ni 4) ni:
1/9
uwezekano wa bahatisho la pili kuwa sahihi (yaani number ya kwanza ambayo ni 4 na ya pili tuseme ni 7 (yaani 47) ) ni:
1/100
uwezekano wa bahatisho la tatu kuwa sahihi (yaani number ya kwanza ambayo ni 4 na ya pili ambayo ni 7 na ya tatu tuseme ni 9 (yaani 479) ) ni:
1/1000
tukiendelea hadi number zote 14 zipatikane kwa usahihi itakuwa hivi kwa kifupi:
bahatisho (event) na uwezekano (probability)
la kwanza 1/10
la pili 1/100
la tatu 1/1000
la nne 1/10000
la tano 1/100000
la sita 1/1000000
la saba 1/10000000
la nane 1/100000000
la tisa 1/1000000000
la kumi 1/10000000000
la kumi na moja 1/100000000000
la kumi na mbili 1/1000000000000
la kumi na tatu 1/10000000000000
la kumi na nne 1/100000000000000
Uwezekano wa mabahatisho yote 14 kuwa sahihi ni:
1/10 x 1/100 x 1/1000 x 1/10000.................................x 1/10^14
ambapo jibu lake ni 1x10^105 au 1/10^14! (! siyo alama ya mshangao bali ni alama ya kihesabu (factorial) kama vile 5!=5x4x3x2x1)
hivyo basi uwekano wa kupata numba zote 14 zikiwa sahihi ni:
0.0000000000000000000000000000000000000000000000..............endelea mpaka zifike sifuri 105! (! hapa ni alama ya mshangao)
AMBAYO KWA MANENO YA KITAKWIMU NDIYO KUSEMA TU HAIWEZEKANI (NO CHANCE)!!!
HITIMISHO: HUWEZI KUBAHATISHA NAMBA YA VOCHA.
USHAURI: NENDA KANUNUE KWA WAUZAO KAMA UNA FEDHA.
Na je vipi kubahatisha luku ya hawa tanesco??? Nayo uwezekano upoje?