Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,353
Habari za leo Great thinker!
Bila kupoteza muda niingie moja kwa moja keenye mada
Kwanza kabisa je! Ni kweli kuwa Mungu yupo? Kama ndio je! Mungu aliwaumba wanadamu huku akiwa amewapa matabaka kuwa huyu ataishi maisha ya dhiki maisha yake yote na huyu ataishi maisha ya raha na furaha maisha yake yote? Au huyu ataishi maisha ya huzuni
Na au tuseme kuwa maisha anayoishi mwanadamu fulani hapa duniani ndivyo ambavyo he\she destinied to live?? So anapaswa kukubali hali au maisha ambayo mungu kampangia kuishi hapa duniani?
Kwa mfano mtoto anazaliwa na mama kichaa anakulia jalalani na anafia jalalani,mtoto anazaliwa na wazazi wakulima maskin wa kutupwa anakulia shamba na anakufa akiwa mtu mzima kwa njaa,mtoto anazaliwa taahira na anakufa akiwa mzee taahira pia,anazaliwa kipofu na anakufa kwa kugongwa na gari na mifano mingine kama hiyo
Halafu upande wa pili anazaliwa tajiri na anakufa akiwa tajiri,anazaliwa maisha ya kawaida yakiyojaa furaha na anakufa maisha ya kitajiri yaliyojaa furaha na mifano inayoendana na hiyo
Swali,je! Kwanini mungu anawaweka wanadamu wenye thamani sawa katika hali tofauti maadam hawa wateseke na hawa waishi maisha ya raha mustarehe wakati anajua kuwa kila mwanadamu anapenda maisha mazuri na ya raha?
Kwanini wengine tutiwe ulemavu au udhaifu fulani ambao unatufanya tuishi maisha yasiyo na furaha? Au tuseme tumelaaniwa tu na tunatakiwa tukubali hali hiyo kwa maana ndio destiny yetu hapa duniani?
Kwanini wale wanaomuomba sana mungu hubaki palepale huku wale waliomsahau kabisa wakiwa na maisha ya furaha na raha mustarehe?
Sasa nadharia halisi ya maisha ni ipi? Kusema kuwa wenginr tumetiwa madhaifu kwa maana tumelaaniwa kwa sababu mungu ametaka tu tuwe hivyo? Mbona tunamlilia kila leo? Au ndo tukubalu tu kuwa haya ndo majaaliwa yetu?
MI HATA SIELEWI KWAKWELI!
Bila kupoteza muda niingie moja kwa moja keenye mada
Kwanza kabisa je! Ni kweli kuwa Mungu yupo? Kama ndio je! Mungu aliwaumba wanadamu huku akiwa amewapa matabaka kuwa huyu ataishi maisha ya dhiki maisha yake yote na huyu ataishi maisha ya raha na furaha maisha yake yote? Au huyu ataishi maisha ya huzuni
Na au tuseme kuwa maisha anayoishi mwanadamu fulani hapa duniani ndivyo ambavyo he\she destinied to live?? So anapaswa kukubali hali au maisha ambayo mungu kampangia kuishi hapa duniani?
Kwa mfano mtoto anazaliwa na mama kichaa anakulia jalalani na anafia jalalani,mtoto anazaliwa na wazazi wakulima maskin wa kutupwa anakulia shamba na anakufa akiwa mtu mzima kwa njaa,mtoto anazaliwa taahira na anakufa akiwa mzee taahira pia,anazaliwa kipofu na anakufa kwa kugongwa na gari na mifano mingine kama hiyo
Halafu upande wa pili anazaliwa tajiri na anakufa akiwa tajiri,anazaliwa maisha ya kawaida yakiyojaa furaha na anakufa maisha ya kitajiri yaliyojaa furaha na mifano inayoendana na hiyo
Swali,je! Kwanini mungu anawaweka wanadamu wenye thamani sawa katika hali tofauti maadam hawa wateseke na hawa waishi maisha ya raha mustarehe wakati anajua kuwa kila mwanadamu anapenda maisha mazuri na ya raha?
Kwanini wengine tutiwe ulemavu au udhaifu fulani ambao unatufanya tuishi maisha yasiyo na furaha? Au tuseme tumelaaniwa tu na tunatakiwa tukubali hali hiyo kwa maana ndio destiny yetu hapa duniani?
Kwanini wale wanaomuomba sana mungu hubaki palepale huku wale waliomsahau kabisa wakiwa na maisha ya furaha na raha mustarehe?
Sasa nadharia halisi ya maisha ni ipi? Kusema kuwa wenginr tumetiwa madhaifu kwa maana tumelaaniwa kwa sababu mungu ametaka tu tuwe hivyo? Mbona tunamlilia kila leo? Au ndo tukubalu tu kuwa haya ndo majaaliwa yetu?
MI HATA SIELEWI KWAKWELI!