Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,185
- 10,909
Ni sawasawa tu na tofauti iliopo kati ya mtu na mtu bila ya kujali ulemavu. Kuna mwenye mambo mengi na kujituma zaidi na mwingine hafanyi lolote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kutumia huo huo mfano ulioutoa ni kwa nini kuwe na vipofu wawili mwingine apewe uwezo wa kutumia akili zake vizuri na kuwa na utashi kama huo wa kufanya makubwa na mwingine asiwe na uwezo huo? Je, akili au utashi huo unazaliwa ndani ya mtu mwenyewe na siyo kwamba unatoka mahali pengine nje ya huyo mtu (mfano Mungu mgawa vyote)?
Sent using Jamii Forums mobile app