dogo_mjuaji
JF-Expert Member
- Jul 18, 2015
- 222
- 48
Katika wasanii wanaojiita ma wachekeshaji sio kama Stan Bakora anastahili, mbona me hata hajawahi kunichekesha.
Nadhani hana kipaji ile umaarufu ni wa kutengeneza tu ukichangiwa na kick.
Au mwenye kazi zake ambazo anahisi nitapagawa nazo nimkubali anirushie kwa whatsapp 0653610047.
Shukrani wakuu
Hongera mashujaa wetu siku ya mashujaa Tanzania.
Nadhani hana kipaji ile umaarufu ni wa kutengeneza tu ukichangiwa na kick.
Au mwenye kazi zake ambazo anahisi nitapagawa nazo nimkubali anirushie kwa whatsapp 0653610047.
Shukrani wakuu
Hongera mashujaa wetu siku ya mashujaa Tanzania.