Hivi Mzumbe University siku hizi mbona haivumi?

dah...kaka mzee A.K.A kibabu inamaana UDSM inachukua hadi watu wa namna kama ya senetor? Basi kweli UD imekwisha,ili irudishe heshima inabidi ipunguze idadi ya vilaza kwa kuchukua waliofanya vizur tu kama ifanyavo mzumbe,ardhi na sua maana uwiano wa waliofaulu na idadi ya vilaza ni 5:1 respectively.

check hili nalo,hako ka diploma kako ka law ulikokapata hapo kwenye tution ya mzumbe ndo unajiona nawe umemalza kila k2?bado hadi uje chuo kiku cha tanzania ndo nawe utaingia kwenye list ya waloenda shule,othrwise kalime.
 
sa mzumbe kuna elimu gani ya maana ambayo inaweza kuitikisa udsm,bwana mzumbe level yake ni vyuo kama tumaini,muccobs na saut,co level ya udsm hata kwa point moja.

mkuu inaonekana una chuki binafsi na mzumbe ila ukweli unaufahamu au unataka kuthibitisha ukweli kuwa mzumbe ni chuo bora hapa jf.
 
mkuu inaonekana una chuki binafsi na mzumbe ila ukweli unaufahamu au unataka kuthibitisha ukweli kuwa mzumbe ni chuo bora hapa jf.
jamaa alitemwa kwa hiyo hana choice zaidi ya chuki, Inaonekana hata madem wakimkataa huwa anawapakazia mbaya, Anafaa kuimba taarabu huyo
 
check hili nalo,hako ka diploma kako ka law ulikokapata hapo kwenye tution ya mzumbe ndo unajiona nawe umemalza kila k2?bado hadi uje chuo kiku cha tanzania ndo nawe utaingia kwenye list ya waloenda shule,othrwise kalime.

we mwehu kweli....yani unadhani ukiwa na bachelor umemaliza kila kitu? Wangapi tunawaona nazo wamekaa tu kitaa na hawana idea nyingne zaidi ya kuajiriwa na weng wao transcript zao ni za udsm kwahyo wewe maliza uende ukale bench kijijin kwenu.....
 
Wewe hujasoma Mzumbe imekuaje ulinganishe Mzumbe na UDSM then ukaja na conclusion ya miaka 50 wakati wewe hujatia timu Mzumbe na ukaona elimu yake ipoje. Ushauri wangu maliza chuo then njoo kitaa ndo utapata majibu
 
Jamani sisi graduates wa SUA hatujafunzwa ubishani usiokuwa based on vivid facts coz kabla jambo hujalitetea lazima uwe na detail za kutosha kujidefend na kuraise arguement, wakuu na wana jf wenzangu to prove that we are great thinkers tuondokane na thread hizi zisizo na tija,we are all one bila kujali umesoma chuo gani,tutumie taaluma zetu kwa kuiletea maendeleo nchi yetu kwa manufaa ya vizazi vyetu vijavyo
 
Jamani sisi graduates wa SUA hatujafunzwa ubishani usiokuwa based on vivid facts coz kabla jambo hujalitetea lazima uwe na detail za kutosha kujidefend na kuraise arguement, wakuu na wana jf wenzangu to prove that we are great thinkers tuondokane na thread hizi zisizo na tija,we are all one bila kujali umesoma chuo gani,tutumie taaluma zetu kwa kuiletea maendeleo nchi yetu kwa manufaa ya vizazi vyetu vijavyo

hili jukwaa linahitaji watu kama wewe kwa wingi, maana hizi thread hazijengi ila zinatuwekea ubaguzi sanasana miongoni mwa wanavyuo, udom=udsm=ardhi=muhimbili=saut=mzumbe=sua=......nilikua miongoni mwa wajinga ila sasa simo kuhusu mabishano ya vyuo maana hayana tija.
 
Kumbe bado kuna watu wanashindanisha vyuo tu ulimwengu huu?aisee polen sana,nyie somen udsm,sua au wap lakni kumbuken benchi linawahusu sana tu.
 
Sikutegemea mtu na akili zako unaropoka utumbo kama huu. Mtu huna hata lugha ya kistaarabu, kazi kuponda watu na kuwa kigeugeu. Huu ni ujinga.

Utumbo ni upi kati ya haya;Kukaa kushindanisha vyuo ati MZUMBE v/s UDSM,UDOM v/s MZUMBE hivi vinatusaidia nini katika kuboresha elimu yetu kufikia kiwango cha kimataifa? Acheni ufinyu wa mawazo halafu mkiambiwa manakuja na hasira zenu zisizo na tija,hapo mnajadili uharo...hakuna msomi atakaye kubali kujadili upunguani huu wa kulinganisha vyuo...Kwataarifa yako vyuo vikuu vya Tanzania kimataifa ni mavi matupu,kila siku vinapotea kwenye akili za watu wenye akili timamu...Wekeni mada tufanye kuboresha elimu yetu ya juu sio UDOM v/s UDSM huu ni ukichaa...
 
Hivi hii kasumbaa ya wa Tz kujikweza itaisha lini? Ikiwa wasomi mnatumia muda mwingi kubishana mambo yasiyo na tija katika maendeleo ya taifa masikin lisilo na mwelekeo zaidi ya kutegemea misaada toka nje! Hii ni hatari sana! Heri Mngekuwa mnajadili jinsi gani 2tumie rasilimali zetu kukuza uchumi na maendeleo kwa ujumla! Ikiwa ni mwanafunzi wa elimu ya juu bado unaponda vyuo vikuu je 4m 4&6 afanyeje? Na aliyeishia la saba aseme nin? Kitu ni distinction{ 1&2 classes}! Kumbuka div 1 ya shule yyte ya Kata ni sawa div 1 ya Iliboru, Kibaha Seminaries etc! Tatizo lako ni nin? Sup zinakutesa eeh? Soma mawazo hasi {-ve altitude} weka pembeni! Gudsunday!
 
Huyu Senetor inaonekana alivyokuwa shule ya msingi akupitia haya mambo ya majigambo ndio maana anayaleta leo akiwa chuo, kuruka hatua katika maisha ndio hasara yake hii sasa lazima airudie, sisi wazoefu wala hatuangaikii mambo ya kufaulu maana ni part ya maisha kuchana paper so kawaida xanaaaa....SENETOR ACHA ULIMBUKENI YOUR GROWN MAN NOW.
 
Huyu Senetor inaonekana alivyokuwa shule ya msingi akupitia haya mambo ya majigambo ndio maana anayaleta leo akiwa chuo, kuruka hatua katika maisha ndio hasara yake hii sasa lazima airudie, sisi wazoefu wala hatuangaikii mambo ya kufaulu maana ni part ya maisha kuchana paper so kawaida xanaaaa....SENETOR ACHA ULIMBUKENI YOUR GROWN MAN NOW.

angejua hata hapo udsm siku hizi wajanja hawapataki,hata asingeleta huu upupu humu jf.
 
Jamani huyu senetor msibishane nae, hana akili nzuri. Tujaribu kumzoea!!.
 
Back
Top Bottom