Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
- Thread starter
- #101
dah...kaka mzee A.K.A kibabu inamaana UDSM inachukua hadi watu wa namna kama ya senetor? Basi kweli UD imekwisha,ili irudishe heshima inabidi ipunguze idadi ya vilaza kwa kuchukua waliofanya vizur tu kama ifanyavo mzumbe,ardhi na sua maana uwiano wa waliofaulu na idadi ya vilaza ni 5:1 respectively.
check hili nalo,hako ka diploma kako ka law ulikokapata hapo kwenye tution ya mzumbe ndo unajiona nawe umemalza kila k2?bado hadi uje chuo kiku cha tanzania ndo nawe utaingia kwenye list ya waloenda shule,othrwise kalime.